Ni Mchezo wa nusu fainal uliosubiliwa baada ya masaa kadhaa hivi, katika nusu fainali ya michuano ya ya pili ya Euro 2016 mchezo uliokuwa unamuhusisha timu mwenyeji, usiku wa July 7 2016 timu ya Taifa ya Ufaransa ambao ndio wenyeji walicheza dhidi ya...
Mnamo July 7, 2016 katika habari zilizoshika headlinew ni pamoja na hizi za usajili katika ligi kuu Uingereza, nimeipata hii hapa ya usajili wa goli kipa wa zamazi wa FC Barcelona na Manchester United Victor Valdes mwenye umri wa miaka 34 kurudi Uingereza...
Naendelea kukusogezea habari kuu zilizojili katika Magazati ya Tanzania leo endelea kuwa nami kili siku nikiwa naendelea kukujuza kila linalojili kila siku.
Mchezaji nyota wa Argentina na Barcelona Lionel Mess amehukumiwa kifungo cha miezi 21 jela baada ya kupatikana na makosa ya kutumia ulaghai wakati wa ulipaji ushuru, imeripotiwa na vyombo vya habari Uhispania. Wakati wa kesi, waendesha mashtaka walisema...
Ndugu msomaji nikukumbushe kkidogo nyuma kama unakumbuka hivi karibuni Mtanazaji wa Clouds alishika headlines baada ya kuanya mahojiano na mwanaume anayejihusisha na mapenzi ya jinsiia moja . Zamaradi anasema... "Nilitarajia kwamba kuna watu watakuwa...
Inasemekana kati ya vitu wanavyovipenda mashabiki wa Wema ni kuona kuna amani kati yake na Diamond. Pamoja na kuwepo kwa tetesi kuwa kwamba Diamond na Wema hazipandi na kwamba kila mmoja ana hamsini zake inamaana ambapo Diamond yupo kwa Zari huku Wema...
July 5, 2016 mwimbaji staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz aliingia kwenye headlines miandaoni baada ya kupost kwenye Instagram kuhusu watu kujitokeza kwa wingi kwenye show iliyoandaliwa na Mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu, Christian Bella na Idris....