Mastaa hawa kutoka katika tasnia ya bongo fleva Shilole a .k .a Shishi babyna mwenzake Snura mamaa Majanga wameonekana wote kuwa na Majanga baada ya hii taarifa niliyonayo hapa inayosema kwamba wao wamekuwa vipozeo vya wasanii wanaume katika kipindi hiki...
Ni staa wa Taarabu a. k. a mama wa mipasho Khadija Kopa, leo ameonekana katika headlines zetu kwa hizi habari zinazomuhusu zikiwa zinasema "Khadija Kopa nyonga zake kuvunja ndoa ya Mwarabu" noma sana.
Na hii ni kati ya habari nilizonazo hapa katika Studio zetu hizi inayosema "Masogange adaiwa kuwa na Ngoma" inadaiwa kuwa alienda kupima kimyakimya huku akiwaacha na hofu waliotembea nae.
Kama kawaida yangu mtu wangu nakusogezea zile habari muhimu zinazoendelea kujili katika Ulimwengu wetu huu na hii si ya kukosa ikiwa ni Mchezo wa watani wa Jadi mechi kali kati ya Simba na Yanga watakavyoonyesha ubabe katika uwanja wa Taifa jijini Dar...
Ni leo September 28, 2016 Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amezindua Ndege mpya mbili aina ya Bombardier Dash 8 Q400 zilizonunuliwa na Serikali kwaajili ya kutumiwa na kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL). Uzinduzi huu umefanyika...
Hizi ni Ndege zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya kutumiwa na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) zinatalajiwa kuzinduliwa leo September 28, katika Uwanja wa Taifa wa Mwalimu Julius Nyerere.
Mrembo Feza Kessy ambaye pia aliwahi kushiriki shindano la Big Brother Africa 2013, leo ametuletea kibao chake hiki kipya kinachoenda kwa jina la "Walete"