Top posts
-
TAMBUA THAMANI YAKO
Napenda kuchukua nafasi hii na kuwashukuru, Wanafunzi wote wa Shule ya Jangwani Sec School kwa ushirikiano mliotuonyesha, na kwa namna ya pekee nimshukuru mwalimu mkuu wa Shule hiyo kwa makaribisho yake na ushilikiano wake. Namshukuru Mungu pia kwa kipawa...
-
VIDEO: HUYU NDIYE MISS TANZANIA MWAKA 2016, ALIYESHINDA JANA OCTOBER 30, 2016 JIJINI MWANZA...
Fainali ya Miss Tanzania 2016 imefanyika Mwanza Tanzania October 29 2016 ambapo mshindi ametangazwa kuwa ni Diana Lukumai ambapo saa chache baada ya kutangazwa kwake baadhi ya watu wameonyesha kutoridhishwa na ushindi wake. Miss Tanzania namba tatu kwenye...
-
VIDEO: HIVI NDIVYO MANCHESTER UNITED WALIVYO WATULIZA CHERSEA, MAGOLI YOTE NIMEKUSOGEZEA HAPA...
April 16 2017 katika uwanja wa Old Trafford Man United walicheza dhidi ya Chelsea katika muendelezo wa michezo yao ya Ligi Kuu England, upinzani mkubwa wa mchezo huu ulikuwa ni uwepo pia wa Jose Mourinho ndani ya Man United akishindana na timu yake ya...
-
VIDEO:MISS KILIMANJARO, GRORY MINJA KUTOKA KATIKA TOP 10 YA KUMSAKA MISS TANZANIA ASAINI MKATABA WA KAMPUNI YA MAGA "PII"...
Ni siku chache sasa toka mashindano ya kumsaka miss Tanzania 2016 kumalizika hivi karibuni ambapo Fainali zake zilifanyika kwenye jiji la Mwanza kwa mara ya kwanza toka kuanzishwa kwa mashindano hayo miaka zaidi ya ishirini iliyopita, Miss Tanzania 2016,...
-
VIDEO: RAMMY HALIS AELEZA JINSI ALIVYO ACHANA NA MPENZI WAKE MASOGANGE...
Leo November 18, 2016 ninakuletea habari hii inayomuhusu Muigizaji wa kiume anaefanya vizuri katika tasnia ya Bongo Movie Tanzania Rammy Galis, leo Muigizaji huyu anatusogezea story kuhusu mahusiano yake ya kimapenzi na mrembo Agnes Masogange ambapo inadaiwa...
-
VIDEO: HIVI NDIVYO LIVERPOOL WALIVYOINYOOSHA LEEDS UNITED KWA BAO 2-0...
Usiku wa November 29 2016 timu ya Liverpool ilicheza mchezo wa EFL Cup dhidi ya timu ya Leeds United katika uwanja wa Anfield, katika mchezo huo Liverpool waliocheza katika uwanja wao wa nyumbani wamefanikiwa kushinda goli 2-0. Magoli ya Liverpool yakifungwa...
-
VIDEO: MSAMI ATOA SABABU HIZI ZA KUMBWAGA IRENE UWOYA, NDO KWAMBA HAMAKI TENA AU...
Mtu wangu kama kawaida yangu kukusogezea zile habari muhimu kutoka katika pande zote za Dunia, ikiwa wewe ni mfuatiliaji wa Mahusiano ya Mastaa wa Bongo nadhani hili litakuwa sio gezi masikioni mwako Penzi kati ya staa kutoka katika tasnia ya Bongo movie...
-
AUDIO MPYA: WEUSI WAMETULETEA COLLABO MPYA WAKIMSHILIKISHA CHRISTIAN BELLA 'NIJUE'...
Kama kawaida yangu kukusogezea zile habri muhimu kutoka katika pande zote za Dunia, na hii sasa kutoka katika tasnia ya bogo fleva, Leo Nov 10 2016 kundi la wasanii wanaofanya vizuri kwenye hiphop game “Weusi” wamefanya collabo na King of Best Mellodies...
-
VIDEO MPYA: CHINBEES AMEKUJA NA HII VIDEO KALI INAYOENDA KWA JINA LA "ZUZU" ....
Msanii kutokea Bongoflevani Chinbees ambae ameshafanya collabo na mastaa wakubwa kwenye music industry ya Tanzania akiwemo Nikki wa Pili kwenye mdundo wa ‘Sweet Mangi’ hivi karibuni aliachia mdundo wake uliobeba title ya ‘Zuzu’ uliotayarishwa na Producer...
-
VIDEO: MANCHESTER UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 1-1 DHIDI YA WEST HAM UNITED...
West Ham United ndio walikuwa wa kwanza kupata goli dakika ya 2 kupitia kwa Diafra Sakho , lakini Zlatan Ibrahimovic aliisawazishia Man United goli dakika ya 21 ya mchezo. Hata hivyo mchezo huo uliyomalizika kwa sare ya goli 1-1, umemalizika kwa kocha...
-
VIDEO: HAYA NDIYO MAGORI YA ARSENAL DHIDI YA BOURNEMOUTH KATIKA MCHEZO ULIOCHEZWA NOVEMBER 27, 2016..
November 27 2016 klabu ya Arsenal iliikaribisha klabu ya AFC Bournemouth katika uwanja wake wa Emirates kucheza mchezo wao 13 wa Ligi Kuu England msimu wa 2016/2017. Katika mchezo huo Arsenal wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3-1, magoli yakitiwa...
-
VIDEO: PAUL MAKONDA AJA KWA KASI AKISEMA YEYE SIYO MWANASIASA ANAYETAFUTA SIFA ZA KIJING!!!....
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo March 14 2017 ametembele moja kati ya maeneo yaliyokubwa na Mafuriko yaliyotokana na mvua iliyotokea March 13 2017, Buruguni Mnyamani ndipo Paul Makonda ametembea na ameagiza Nyumba 36 zilizokuwa pembezoni...
-
VIDEO: SIMBA YAKUBALI KIPIGO CHA GORI 2 KUTOKA KWA KAGERA SUGAR. ANGALIA MATOKEO HAPA
Kama kawaida yangu kukusogezea zile habri za Michezo kutoka katika viwanja mbalimbali vya mpira na hii ni baada ya watani zao wa jadi Yanga kucheza jana April 1 2017 katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Azam FC,...
-
VIDEO: WALIO MUUWA ALBINO BUKOBA WAHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA,SOMA HABARI HAPA...
Mahakama kuu Kanda ya Bukoba imewahukumu kunyongwa hadi kufa Pankras Minago na Lameck Bazil baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia na kumuua kwa kumchoma na vitu vyenye ncha kali na kunyofoa baadhi ya viungo vyake mlemavu wa ngozi, Magdalena Andrew...
-
VIDEO: HUU NDIO UKWELI KUHUSIANA NA TAARIFA ZA ALIYEKUWA MODEL KWENYE WIMBO WA 'SALOME'' WA DIAMOND, ALIYESHUTUMIWA KUFA...
Mengi yamesikika kuhusiana na taarifa zisizo rasmi kuhusiana na kifo cha mrembo ambaye alionekana kwenye video ya “Salome” yakwake Diamond Platnumz. Unachotakiwa kukifahamu ni kwamba model aliyeonekana kwenye video ya Salome hahusiani kabisa na model...
-
ZE MAJANGAZI!! BWANA AONJA KIPIGO HEVI KUTOKA KWA MKE WA KWANZA WAKATI AKITAKA KUFUNGA NDOA YA PILI!!
Weekend hii siku ya Jumamosi mkoani Arusha wakati ndoa ikifungwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri ‘KKKT’, Usharika wa Usa River, wilayani Arumeru ziliibuka vurugu baada ya pande mbili zilizokuwa zikivutana upande mmoja ukidai bwana harusi anafunga...
-
VIDEO: HVI NDIVYO MOTO ULIVYOLIPUKA KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM...
Leo Nov 1 2016 katika Bandari ya Dar es salaam kumetokea moto ambao umezua taharuki kwa baadhi ya wafanyakazi na watu wengine waliokuwa eneo hilo la bandari. Moto huo uliolipuka kwenye makontena na kuteketeza kontena tatu zilizokuwa na matairi ya magari...
-
VIDEO: HIVI NDIVYO MCHEZAJI WA MBAO FC ALIVYOPOTEZA MAISHA UWANJANI...
Ismail Khalfan mchezaji wa Mbao FC chini ya umri wa miaka 20, amepoteza maisha katika michuano ya timu za vijana wa umri chini ya 20 katika mchezo wa mwisho wa round ya 7 Kundi A kituo cha Kaitaba Bukoba, Ismail Khalfan alikuwa anavaa jezi namba 4 katika...
-
VIDEO:VIDEO MPYA YA BARAKA THE PRINCE NA ALIKIBA HII HAPA"NISAMEHE"...
Ni new official video kutoka kwa kali hawa wa bongo fleva wakiwa wanatuletea ngoma hii mpya, icheki alafu uache comment hapo mtu wangu.
-
MAGAZETI YA TANZANIA YAMEAMKA NA HIZI LEO OCTOBER 13, 2016 KATIKA UDAKU NA HARDNEWS...
Endelea kuwa nami kwaajili ya kuzipata habari kutoka pande zote za Dunia. Usichoke mtu wangu
-
MAGAZETI YA TANZANIA YALICHOANDIKA LEO JUNI 7, 2016...
Magazeti yaliyotoka leo. Naendelea kukusogezea habari kuu zilizojili katika Magazeti yrtu ya leo....
-
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 16, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Magazeti ya leo juni,16 2016 June 16 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.
-
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 15, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo.
Magazetiya leo tarehe15 Jini 2016 June 15 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..
-
VIDEO:NDEGE MPYA ZA TANZANIA ZINATARAJIWA KUZINDULIWA LEO...
Hizi ni Ndege zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya kutumiwa na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) zinatalajiwa kuzinduliwa leo September 28, katika Uwanja wa Taifa wa Mwalimu Julius Nyerere.
-
MAGAZETI YA TANZANIA YAMEAMKA NA HABARI HIZI LEO June 13, 2016 KWENYE UDAKU, HARDNEWS,NA MICHEZO.
MAGAZETI ya leo June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea