Top posts
-
IMEWEKA REKODI! HUYU MTOTO SIO WA SPOTI SPOTI, APEWA MILIONI 100 ILI AOLEWE....
Ni mrembo aliyetokea kuwa staa akiwa na umri mdogo kabisa, lakini sasa hivi amekuwa mama wa madaha sasa.Ni kuhusu habari zinazosema kwamba amekuwa bilionea sasa ikiwa ni baada ya kupewa Milioni 100 na nyumba ili aolewe.
-
SHUHUDIA HAPA NYUMBA ZA KISASA ZILIZOJENGWA JUU YA MITI, ZENYE MWONEKANO SAFI....
Mtu wangu wa nguvu naendelea kudumisha ubora wa Studio ya STARZTZ, na leo ninazo headlines kutoka CNN kuhusu kujengwa kwa nyumba za kisasa juu ya miti kwajili ya utalii, na kampuni ya Blue Forest ndiyo imetajwa kuwa namba moja kwa kujenga nyumba za aina...
-
WANAUME DAR WAAANZA KUSUTWA SASA KWANI IMEKUWA TOO MUCH, WENGI NI WANAUME SURUALI...
Mtu wangu kama na wewe uko dar basi hii inakuhusu. Katika habari nilizonazo leo hapa Studioni ni pamoja na hii habari inayosema Wanaume wa Dar sasa ni Too much , yadaiwa wengi ni wanaume Suruali, waambiwa waache mipasho umbea na ulegelege huku wakiwa...
-
IRENE UWOYA AFUNGUKA MAZITO JUU YA WEMA SEPETU, ASEMA "SIMPENDI WEMA"....
Ni mastaa hawa kutoka tasnia ya bongo fleva na bongo movie Wema Sepetu wa Irene Uwoya. Leo katika habari nilizonazo leo ni pamoja na hii ya Irene Uwoya alivyo mfungukia Wema na kusema hampendi kabisa, huku kisa kikiwa bado hakijulikani ni nini.
-
CHALLENGES
Hellow my friend!!! i think your good enough to day. Would like to take this opportunity to say thank you for reading my inspirations messages and to welcome you back. Lets be together to day and share this a bit i prepared for you to day. "Challenges...
-
WAZO LA LEO!!
Habari za asubuhi ndugu msomaji wa makala zangu. Nina hakika uko salama na mwenye afya njema. Leo napenda nikushirikishe jambo moja muhimu na ambalo ni hili hapa. Ukiwa mwenye kutaka kujifunza ni vyema ujifunze kitu kimoja na ambacho ni "KUSIKILIZA" Kusikiliza...
-
FUNGUKA!!
Habari za muda huu mpenz msomaji wa makala zangu!! Natunaini hujambo kabisa. Leo nakukaribisha tuweze kujifunza kwa pamoja au kuyajua machache niliyokwandalia siku ya leo. SOMO: "Sioni sababu ya wewe kumweleza kila mtu shida zako, unajua ni kwanini? kwasababu...
-
FANIKISHA MALENGO YAKO: Epsodi 1. Darasa letu la Fanikisha malengo yako linaanza leo...
Jitahidi kufuatilia kila siku katika blog yangu ya STARZTZ, kwaajili ya kuelimika, kuburudanika, kuzijua habari na mengine mengi. Lakini pia napenda kukukaribisha kusoma kitabu changu hiki ambacho nitakuwa natoa elimu kila siku na ni kitabu chenye mwendelezo...
-
TOA NENO MOJA KWA KINGOZI HUYU..
Wewe kama kijana mtafutaji ungependa kumwambia nini Mhe Nape Nauye aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa Tamaduni na Michezo?
-
VIDEO: HARMORAPA AYAZUNGUMZA HAYA BAADA YA KURUSHIWA CHUPA AKIWA STAGENI.....
Baada ya msanii Harmorapa kutupiwa chupa kwenye stage April 2 2017 na shabiki wakati akifanya show, leo April 3 2017 Ayo TV Entertaiment imemtafuta Harmorapa na Kupiga naye stori jinsi ilivyokuwa. ‘J ana kweli nilikuwa na show ambapo nilipigwa na chupa...
-
WASTARA AMWAGA MATUSI HADHARANI AWAACHA WATU MIDOMO WAZI WAKIISHIA KUMSHANGAA...
Nikiendelea kukujuza kila kinachoendelea mtu wangu na hii leo inamhusu Wastara, kwa habari nilizonazo hapa leo mtu wangu Wastara ameyasema mazito hadharani akisababisha watu kumshangaa na kubaki wakijiuliza maswali mengi juu ya kitendo hiki, Wastara aishia...
-
HAMISA MOBETO AJA NA MAPYA, YANAMHUSU DIMOND WA MAMA TIFFAH DANGOTE...
Le mtu wangu naendelea kukusogezea zile habari zinazowahusu wasanii mbali mbali kutoka bongo movie na bongo fleva. Sasa leo yameibuka mengine ya Hamisa Mobeto, hii ni baada ya kauli alio itoa ya kusema kwamba Diamond alimpatia mkwanja mrefu, kumbuka haya...
-
GOLI LA SIMBA DHIDI YA STAND UNITED HILI HAPA, SIMBA WANAPIGA TU NISIJUE KAMA WANAHESABU AULA!!...
Ndugu yangu ni November 2, 2016 ilipochezwa mechi kati ya Stand United na Simba SC, mchezo ulio waondoa kinyonge Stand United kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa simba.
-
WEMA SEPETU NAYE AJA NA HIZI MPYA, ADAI HAACHI MABWANA, ASEMA ANATAKA KUDEKEZWA...
Ni staa kutoka katika tasnia ya Bongo movie, Wema Sepetu leo katika studio zetu zimetufikia habari zinazo sema kwamba, yeye adai anachotaka ni kudekezwa tu baaaasi!!! aongezea akisema "Siachi mabwana"
-
DAWA ZA KULEVYA ZAZIDI KUMWEKA MATATANI WEMA SEPETU, KILA KUKICHA AFADHARI YA JANA...
Huyu ni staa Wema Sepetu kutoka katika Tasnia ya bongo movie, leo ninazo hizi habari zinazomhusu zikisema "Dawa za Kulevya zamweka matatani Wema Sepetu matatani" hii ni baada ya mazito yaliyoibuka baada ya Polisi kuweka mtego mkali nyumbani kwake.
-
CHOMBEZO: HAINAGA USHEMEJI TUNAKULAGA!!! DIAMOND NA KIBA WATUPIANA VIJEMBE...
Ni noma noma ile mbaaaya mtu wangu, mimi zinanikutatu habari zenye unyankuzi. Haya leo tena kwa mala nyingine Kiba na Diamond wanakutana ulingoni na kuanza kutupiana vijembe, huku kila mmoja akitaka kuonyesha yeye ni nani. Kwanza Mama Diamond aachia bomu...
-
HUU NDIO UNDANI WA TIMBWILI TIMBWILI LA MZEE WA UPAKO, WALINZI MH!!...
Ndugu msomaji wa makala zangu naendelea kukusogezeazila habari muhimu, kutoka katika pande zote za Dunia, na hii leo nina habari zinazomhusu Mzee wa Upako. Leo hii habari inasema 'Timbwili la Mzee wa Upako lachukua masaa mawili, huku Mzee wa Upako akitishia...
-
KHA!! MZEE WA UPAKO USIRUDIE USHETANI HUU, AKUTWA AKIJISHUSHIA KONYAGI...
Ni kati ya habari nilizonazo leo mtu wangu. Mzee wa Upako akutwa akinywa Konyagi meingi yazuka, huku wengi wakioji Sadaka anazopata anazitumia katika Ulevi, wadai hasira ya Mungu imeshuka aambiwa kutubu na ushetani wa kupenda Konyagi. Yamkuta makuu apata...
-
HII NI LAANA!! WAKUTWA WAKIFANYA MAPENZI HOSPITALINI TENA WODINI BILA AIBU....
Najua mtu wangu hupendi kupitwa na habari yoyote, sana sana habari kama hizi za Udaku. Sasa leo nimekusogezea mkasa mmoja Katika Kijiji fulani, wamekutwa mgonjwa na aliyedai Muuguzi kupeana mambo yao Wodini mchana kweupe. Hii ni baada ya kusikia kwamba...
-
HARMONIZE AAMUA KWENDA KUJIRUSHA NA MPENZI WAKE KATIKA MAENEO FRAN HIVI....
Mtu wangu bila kupitwa najua wajua kuhusu mahusiano ya wawili hawa akiwa ni mmoja kutoka katika Lebo ya WCB Harmonize kutoka katika tasnia ya Bongo fleva na mpenzi wake Jackline Wollper kutoka katika Tasnia ya Bongo movie. Leo ni katika maeneo tulivu...
-
MASHABIKI WA WEMA ROHO JUUJUU KWA FURAHA KWA UAMUZI WA DIAMOND...
Inasemekana kati ya vitu wanavyovipenda mashabiki wa Wema ni kuona kuna amani kati yake na Diamond. Pamoja na kuwepo kwa tetesi kuwa kwamba Diamond na Wema hazipandi na kwamba kila mmoja ana hamsini zake inamaana ambapo Diamond yupo kwa Zari huku Wema...
-
MTOTO WA OSAMA BIN LADEN AAPA KULIPZA KISASI...
Mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda, Osama bin Laden, Hamza Bin Laden ameapa kwa Marekani kulipiza kisasi kwa kumuua baba yake. Amesema ataendeleza kundi hilo na kudai kwamba wako kwenye mpango wa kutekeleza shambulizi lingine linalofanana na lile...
-
KAMA ULIKUWA HUJUI MTU WANGU HAYA NDIO MASHA YA MASO GANGE...
Usichoke kuendendelea kuwa nami mtu wangu STARZTZ inajua unapenda nini na ndomaana naendelea kuwa nawe na kukuletea issue mpya mpya kila siku. usiache kutupia Comment hapo.
-
BODI YA MIKOPO YAPEWA SAA 72 NA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU...
Kamati ya Serikali za wanafunzi wa Elimu ya juu Nchini Tanzania inayoundwa na Mawaziri, Manaibu waziri na makatibu wa wizara ya mikopo kutoka vyuo vyote nchini leo July 16, 2016 wamekutana na waandishi wa habari jiini Dar es salaam na kuongea haya, Kwa...
-
SHAA "SIJUTII KUONDOKA MKUBWA NA WANAWE"....
Mwimbaji Sarah Kaisi a.k.a Shaa ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake mpya ya 'Sawa' amesema yeye kuweza kuondoka chini ya uongozi wa Mkubwa na wanawe pamoja na Master Jay si suala la kupewa pole bali kupngezwa.