Overblog
Follow this blog Administration + Create my blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974

PICHA: MHE NAPE NAUYE AKABIDHI OFISI KWA WAZIRI MPYA WA HABARI NA SANAA MHE MWAKYEMBE LEO..

Leo March 28, 2017 Aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamadunu na michezo, Nape Nnauye leo amekabidhi ofisi kwa Waziri Mpya wa Wizara hiyo, Dk. Harrison Mwakyembe. Makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi za Wizara Dodoma

Read more

HIZI HAPA TIMU NANE ZILIZOFUZU KUCHEZA ROBO FAINALI YA UEFA EUROPA 2016/2017...

Hatimae michezo ya hatua ya 16 bora hatua ya marudiano ya UEFA Europa League imemalizika usiku wa March 16 2017 kwa michezo nane kuchezwa, tayari timu nane zimepatikana baada ya michezo ya marudiano. Kujua timu ipi itacheza na timu gani na kama itaanzia...

Read more

VIDEO MPYA: HARMONIZE KATULETEA HII VIDEO MPYA KARIBU TUICHEKI....

Ni kama kawaida yangu kukusogezea vile vitu vikali vinavyozidi kuushamili katika tasnia nzima ya Bongo fleva na baada ya hap sasa kwa wale wapenzi wa video kutoka Bongoflevani hii ni nyingine ambayo nisingependa ikupite ni kutoka WCB, Harmonize ameiachia...

Read more

MAGAZETI YA LEO MARCH 17, 2017 YAMEAMKA NA HIZI KATIKA UDAKU NA HARDNEWS...

Ndugu msomaji usisite kuungan nami kila siku kwaajili ya kupata habari mbalimbali kutoka katika pande zote za Dunia.

Read more

LORI LABIRINGITA MWELEKA WA NGUVU BAADA YA KUACHA NJIA NA KUANZA KUCHANJA MBUGA HUKO WILAYANI MAKETE

Lori aina ya Isuzu TX lenye namba za usajili T 721 BVV lililokuwa limebeba mawe likiwa limepinduka katika kijiji cha Masisiwe na kusababisha majeruhi na kifo cha mtu mmoja ambaye alikuwa katika lori hiloTaarifa za awali kutoka eneo la tukio zinasema kuwa...

Read more

VIDEO: KUMBE SABABU ZA ZARI KUZAA MFULULIZO NA DIAMOND KACHANGIA.....

Kama kawaida yangu mtu wangu wa nguvu naendelea kukusogezea zile habari zinazoendelea kutufikia hapa studiion kwetu. Usisite kushere na kunifollow katika page yangu ya Instagram kama Chuyan'g Custarah pamoja na Facebok jina hilohilo!!! Uploaded by nafiaafrica...

Read more

KESI YA YUFUF MANJI YATARAJIWA KUSIKILIZWA LEO ALHAMISI 16, 2017....

Kesi inayomhusu Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ya juu ya matumizi ya dawa za kulevya aina ya Heroine, inatarajiwa kusikilizwa tena kesho Alhamisi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kuahirishwa kwa mara ya mwisho Februari 16, mwaka huu.

Read more

HARMORAPA AAMBULIA BURUNGUTU LA MATUSI BAADA YA KUNUNUA KESI YA DIAMOND NA ALIKIBA...

Dogo Harmorapa ainunua bifu ya Diamond na Alikiba, achezea mvua ya matusiHarmorapa ni kama amemwaga petrol kwenye moto wa gesi. Rapper huyo aliyeteka vichwa vya habari kwa sasa nchini ameonekana kuanza kuununua ugomvi wa Diamond na Alikiba.Harmo kupitia...

Read more

HIKI NDICHO KIUMBE KINGINE WALICHOKIGUNDUA WANA SAYANSI KINACHOADILIKA KAMA KINYONGA...

Unaweza kutoamini lakini inapofikia wakati ikathibitishwa ni lazima kuamini. Tumekuwa tukiamini kwa kusikia na wakati mwingine kwa kuona kwa macho yetu kuwa Kinyonga ndiye kiumbe Pekee anayeweza kubadilisha rangi yake kulingana na mazingira. Leo nimekutana...

Read more
1 2 > >>

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974