Overblog
Follow this blog Administration + Create my blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974

VIDEO: HIVI NDIVYO MANCHESTER UNITED WALIVYOLAZIMISHWA SARE DHIDI YA EVERTON...

Timu ya Man United leo December 4 2016 imecheza mchezo wake wa 14 wa Ligi Kuu England dhidi ya Everton katika uwanja wa Goodson Park, Man United wamecheza mchezo huo na kujikuta wakiambulia sare ya 1-1. Man United walionesha matumaini ya kuwa wataondoka...

Read more

VIDEO: HIVI NDIVYO MCHEZAJI WA MBAO FC ALIVYOPOTEZA MAISHA UWANJANI...

Ismail Khalfan mchezaji wa Mbao FC chini ya umri wa miaka 20, amepoteza maisha katika michuano ya timu za vijana wa umri chini ya 20 katika mchezo wa mwisho wa round ya 7 Kundi A kituo cha Kaitaba Bukoba, Ismail Khalfan alikuwa anavaa jezi namba 4 katika...

Read more

IRENE UWOYA AFUNGUKA MAZITO JUU YA WEMA SEPETU, ASEMA "SIMPENDI WEMA"....

Ni mastaa hawa kutoka tasnia ya bongo fleva na bongo movie Wema Sepetu wa Irene Uwoya. Leo katika habari nilizonazo leo ni pamoja na hii ya Irene Uwoya alivyo mfungukia Wema na kusema hampendi kabisa, huku kisa kikiwa bado hakijulikani ni nini.

Read more

MAGAZETI YA TANZANIA LEO YAMEAMKA NA HIZI LEO DECEMBER 5, 2016 KATIKA UDAKU HARDNEWS...

Endelea kuwa nami ninapokuwa nakusogezea zile habari muhimu kutoka katika pande zote za Dunia.

Read more

VIDEO MPYA YA BOB JUNIOUR HII HAPA INAITWA "CHUKUCHUKU"..

Baada ya ukimya mrefu Bob Juniour leo anatualika kuisikiliza ngoma yake hii hapa mpya inayoenda kwa jina la "Chukuchuku" Brand New Video by Bob Junior

Read more

SHILOLE SASA YAMKUTA MAKUU, AANZA KUITWA MAMA ZOAZOA...

Mtu wangu wa nguvu huyu ni staa kutoka katika tasnia ya bongo fleva Shilole, huku akiwa anadunda na wanaume mitaani sasa watu waanza kumuita mama zoazoa, sababu kubwa ikisemekana kwamba ni kubadilisha wanaume kila wakati.

Read more

WANAUME DAR WAAANZA KUSUTWA SASA KWANI IMEKUWA TOO MUCH, WENGI NI WANAUME SURUALI...

Mtu wangu kama na wewe uko dar basi hii inakuhusu. Katika habari nilizonazo leo hapa Studioni ni pamoja na hii habari inayosema Wanaume wa Dar sasa ni Too much , yadaiwa wengi ni wanaume Suruali, waambiwa waache mipasho umbea na ulegelege huku wakiwa...

Read more

MAGAZETI YA TANZANIA YAMEAKA NA HIZI LEO DECEMBER 4, 2016 KATIKA UDAKU NA HARDNEWS...

Mtu wangu kama ilivyo ada mimi kukusogezea zile habari muhimu kutoka katika pande zote za Dunia. Usisite kuwa nami kila siku kwaajili ya ujua ni nini kinachoendelea Ulimwenguni.

Read more
1 2 > >>

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974