Overblog
Follow this blog Administration + Create my blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974

VIDEO: HUYU NDIYE MISS TANZANIA MWAKA 2016, ALIYESHINDA JANA OCTOBER 30, 2016 JIJINI MWANZA...

Fainali ya Miss Tanzania 2016 imefanyika Mwanza Tanzania October 29 2016 ambapo mshindi ametangazwa kuwa ni Diana Lukumai ambapo saa chache baada ya kutangazwa kwake baadhi ya watu wameonyesha kutoridhishwa na ushindi wake. Miss Tanzania namba tatu kwenye...

Read more

JACKLINE WOLPER NAYE LEO AJA NA MAPICHA PICHA, ADAI KUBADILISHA MABWANA HAPENDI....

Ni habari niliyokutana nayo leo wakati pitapita zangu, Leo staa huyu wa Bongo movie kaja na hii pya akisema anabadilisha bwana hapendi ujinga!!! Kwahiyo ndo Tuseme Harmonize kapigwa chini au veepe??!

Read more

STAA WEMA SEPETU AKAMATWA NA KUPIGWA PINGU!! MADAI NI KUKUTWA NA MADAWA...

Ni moja kati ya habari nilizonazo hapa Studio zikiwa zinasema Wema Sepetu akamatwa na Unga, Madai yanasema ni Alhamisi iliyopita akiwa katika safari yake ya China ndiko kitimtim kilikoendelea.

Read more

MAGAZETI YA TANZANIA YAMEAMKA NA HIZI LEO OCTOBER 31, 2016 KATIKA UDAKU NA HARDNEWS...

Mtu wangu wangu wa nguvu studio zetu za STARZTZ zinapenda kukukalibisha kila siku hapa kwenye Blog yetu kwaajili ya kusoma na kupata habari zote zitokeazo kila siku.

Read more

WASTARA AMWAGA MATUSI HADHARANI AWAACHA WATU MIDOMO WAZI WAKIISHIA KUMSHANGAA...

Nikiendelea kukujuza kila kinachoendelea mtu wangu na hii leo inamhusu Wastara, kwa habari nilizonazo hapa leo mtu wangu Wastara ameyasema mazito hadharani akisababisha watu kumshangaa na kubaki wakijiuliza maswali mengi juu ya kitendo hiki, Wastara aishia...

Read more

MAPYA HAYA MENGINE YAIBUKA, MASOGANGE AJIIPULIA DOGO JANJA, MAHABA NIUWE...

Ni katika tembea tembea zangu leo nikikutana na hizi habari zinazosema na kuwaonyesha Masogange na Dogo Janja wakiwa katika sile sehemu mulua nooooma sana mtu wangu.

Read more

CLOUDS YAFANYA KUFURU, YAMSHUSHA JAY Z BONGO KWA BILIONI 5, DIAMOND CHARIIIII...

Katika habari zilizoingia kwenya headlines zetu leo ni pamoja na hii ya msimu huu wa Fiesta ikiwa ni zamu ya Dar es Salaam Clouds yafanya kufuru ya kumleta Jay Z Bongo kwa Bilioni 5. Sasa kama hujasikia ya Diamond kupigwa chini ndo hii sasa, yasababisha...

Read more

AMBER LULU AWAONYA WANAOMSEMA KWAMBA ANA MAISHA MAGUMU, AFUNGUKA MAZITO...

Katika habari nilizonazo leo nipamoja na hii habari kutoka kwa Amber Lulu zinazosema. Mrembo huyu leo amewakata midomo wale wote wanaomshuku wakisema yeye ana maisha magumu sasa leo kaja anasema yeye hana maisha magumu bali anapiga pesa ndefu.

Read more

HAYA NDIO MATOKEA YA MECHI ZILIZOCHEZWA JANA, SIMBA SC YAILAZA MWADUI FC KWA BAO 3-0...

Mtu wangu ni kawaida yangu kukusogezea vile vitu muhimu kutoka katika pande zote za Dunia, Na leo nimekuletea Matokeo yato ya VPL katika Mechi zilizochezwa jana ikiwemo na Simba SC ilivyoilaza Mwadui FC kwa bao 3-0, Simba inapiga tu!!!

Read more

MAGAZETI YA TANZANIA YAMEAMKA NA HIZI LEO OCTOBER 30, 2016 KATIKA UDAKU NA HARDNEWS...

Endelea kuwa nami mtu wangu kwaajili ya kuzipata habari bora kabisa kutoka kwangu mwandishi wako Elipidius G Mtagurwa. Unaweza kunipata faceboock kwa kuandika Jina Chuyan'g Custarah, na hapo utaweza kunipata kwa urahisi.

Read more
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 > >>

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974