Top posts
-
IBRA DA HUSTLER AFUNGUKA HAYA JUU YA MSICHANA JOKATE...
Rapper huyu wa kundi la Nako 2 Nako, Ibrah Da Hustler amesema staa wa kike anaetamani kuwa na mahusiano nae ni Jokate Mwegero.Hustler amesema kuwa Jokate ana kila sifa anazozitaka kutoka kwa mwanamke amemwagia sifa za kumwaga "Choice yangu kama kudate...
-
SAMUEL ETO'O AFUNGA NDOA...
Nyota wa zamani wa Barcelona na Cameroon Samuel Eto'o amefanikiwa kufuga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Georgette Tra Lou.
-
MSANII NUH MZIWANDA AZIDI KUTUPIA VIJAMBO KWA SHILOLE...
Msanii huyu wa Mziki, Nuh Mziwanda ameendelea kumponda aliyekuwa mpenzi wake Zuwena Muhammed alimaarufu kama Shilole kwa kusema sio mwana muziki bali ni mcheza Shoo.
-
MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO HAYA HAPA...
Ofisi ya Rais- TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha tano na Vyuo vya ufundi kwa mwaka 2016. Ikiwa wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka katika Shule za serikali na zisizo za Serikali. Jumla ya wanafunzi 65,720...
-
AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNYWA POMBE KUPITILIZA...
Mkazi wa Mondo katika Kijiji cha Kitumba Wilayani Magu, Wilson Magola (45) amekufa baada ya kunywa Pombe haramu ya Gongo.
-
VIDEO: KAMA ULILIKOSA BAO LA TP MAZEMBE JANA DHIDI YA YANGA HILI HAPA...
Baada ya mchezo wa jana kuisha uliokuwa ukizipambanisha timu mbili ya TP Mazembe na Yanga Sport Crub, Mchezo uliisha Yanga wakikubbali kipigo cha bao 1-0 toka kwa wanzani wao.
-
IGGY AFUNGUKA SABABU ZA YEYE KUMPIGA CHINI MPENZI WAKE...
Mahusiano ya Iggy na Nick yaliingia mtafaluku baada ya kuvuja kwa mazungumzo ya siri March 24, mwaka huu yaliyomhusisha Nick na Mchezaji mwenzake D'Angelo Russell wakiongea kuhusu kutongoza wanawake wengine.Aidha Juni 20, Iggy alitangaza kuvunja uhusiano...
-
ENDELEA KUWA NAMI KATIKA MATANGAZO...
Kwaajili ya kufanya matangazo wasiliana nami kupitia namba 0714260485 au 0759110974
-
NI KATIKA SELFIE YA OMMY DIMPOZ NA WYNE ROONEY...
Ni mkatika mwonekano wa smile, Ommy Dimpozi akiwa na Wyne Rooney Mchezaji wa timu ya Manchester United walipokutana huko Ibiza.
-
NI SIKU 72 SASA DHIDI YA VITA YA NAIBU SPIKA NA DK TULIA ACKSON NA UKAWA...
Kukamilika kwa siku 72 za Mkutano wa Bunge la bajeti kumeacha rekodi mpya ya wabunge wa Upinzania kususia vikao vya Bunge kwa muda mrefu zaidi kutokana na madai ya kutoridhishwa na utendaji wa Naibu Spika, Dk Tuulia Ackson katika Bunge.
-
HAYA NDIYO MAGOLI YA GRIEZMANN YALIYOIPELEKA UFARANSA FAINALI YA EURO 2016...
Ni Mchezo wa nusu fainal uliosubiliwa baada ya masaa kadhaa hivi, katika nusu fainali ya michuano ya ya pili ya Euro 2016 mchezo uliokuwa unamuhusisha timu mwenyeji, usiku wa July 7 2016 timu ya Taifa ya Ufaransa ambao ndio wenyeji walicheza dhidi ya...
-
KALIBU JAPAN AUTOCCOM UJIPATIE GARI BORA NA IMALA KWA BEI NAFUU...
Je! umekuwa ukijiuliza maswali mengi kuhusu ununue gari gani imala? acha kuwa na mashaka Japan Autoccom wamekuja kwa ajili yako kwani utajipatia gari Imala na bora kwa Bei nafuu. Wasiliana nasi kupitia namba 0759110974, 0718370006. KARIBU.
-
KALIBU UJIPATIE GARI BORA NA IMALA KUTOKA JAPAN...
Je! ulikuwa ukiwaza mala kwa mala ununue gari aina gani? aya sasa Japan ndilo jibu lako wanakuletea magari Imala na kwa bei nafuu. wasiliana nasi kwa namba 0759110974, 0718370006. KARIBU.
-
RAIS WA UGANDA AVUNJA LEKODI YA KUINGIA DARASANI NA KUFUNDISHA...
Rais wa Uganda Mhe Museven amedhihirisha kuw akiiongozi wa kipekee na wa aina yake baada ya kuingia darasani na kuwafundisha wanjeshi wake chipukizi namna ya kufanya kazi.
-
JE UNAJUA MHE. JOHN POMBE MAGUFULI KAFANYA NINI??...
Ni mambo mengi sana ameyaanya mpaka wakati huu, Anastahili kupongezwa kwa namna ya kipekee. Je ewe ndugu yangu msomaji una maoni gani juu ya huyu Mzee wa hapa Kazi tu???? acha comment hapo nione maoni yako juu ya Mhe Rais.
-
KIONGOZI WA ISIS ADAI KUFADHILIWA NA UTAWALA WA OBAMA...
Kiongozi wa ISIS anayejulikana kwa jina la Yousef al-Salafi kutoka Pakistan amekubali kwamba kundi lao la ISIS linafadhiliwa na Marekani, kutoka utawala wa Obama. Habari hii imekuja kutokea Serikali ya Pqkistani mala baada ya kuhojiana na Yousef.
-
BASATA KUUFUNGIA WIMBO WA NEY WA MITEGO 'PALE KATI'...
July 16, 2016 ambapo Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa rasmi tamko la kuufungia wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Ney wa Mitego uitwao 'Pale Kati' Akizungumza katibu mkuu wa Basata Godfrey Mgereza alisema "Ni kweli tumeufungia wimbo wa Msanii Ney...
-
BILL NASS AFUNGUKA MAZITO HAYA JUU YA SHILOLE...
Rapper huyu ambaye anatamba na ngoma yake ya Chafu Pozi amekanusha tetesi za kuwa anatoka kimalooove na Staa wa Bongo fleva Shilole.
-
BINTI WA MIAKA 8 AFANYIWA UKATILI WA KUTISHA...
Asimulia mazito Binti huyo, je unataka kujua nini lafanyiwa? nunua Gazeti lako la UWAZI upate kuhabarika...
-
MREMBO RUBY AMZINGUA MOTRA THE FUTURE NA KUSEMA HAYA...
Msanii wa Bongo fleva Ruby ambaye alipaswa kuonekana kwenye wimbo wa Yamoto Band unnaofahamika kama "Suu", asema sababu ya yeye kutoonekana ni kwamba alikuwa Busy!.
-
LULU MICHAEL MABWANA WATAMUUA, YASEMWA MENGI JUU YAKE, AMEWEKA MAPENZI KIPAUMBELE...
Katika habari nilizonazo ni pamoja na hii ya Lulu Michael, inayosema "Lulu ameshindwa kutambua kuwa mapenzi yana nafasi yake na kazi ina nafasi yake, kitendo cha kujitenga na kazi yake kwasababu ya uwezo kipesa wa Mume wake si sahihi maana akumbuke kwamba...
-
HAWA NDIO MA MISS TANZANIA WETU WAKIWA WANAELEKEA KATIKA FAINALI MWANZA....
Mtu wangu wa nguvu ntakuwa nikikusogezea zile habari za kila kitakachokuwa kinaendelea kuhusu Miss Tanzania Mwaka 2016 ikiwa fainali ni tarehe 28/10/2016.
-
ABDU KIBA AFUNGUKA MAZITO JUU YA KUTOFANYA KOLABO NA KAKA AKE ALIKIBA....
Nikiwa katika kuzulula kwangu leo nimekutana na hii habari ya kusisimua kweli kutoka kwa mkali Abdu Kiba, Msanii huyu kutoka katika tasnia ya ya bongo fleva amesema Alikiba hafanyi naye Kolabo kwasababu yupo bize na wasii wengine.
-
MAKUBWA YAIBUKA, SHAMSA FORD AAMUA KUMRUDIA MUNGU WAKE...
Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa Malkia wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anataka kujikita zaidi kwenye ibada ya kufanya mambo ambayo yanampendeza mwenyezi Mungu. Mwigizaji huyo ametangaza uwamuzi...
-
BAADA YA SIKU 48, ZA NDOA SHAMSA AANZA MAPICHAPICHA YA KULIALIA AKIDAI ANABANWA...
Ni mrembo huyu kutoka katika Tasnia ya bongo movie leo kaja na hii mpya, akiongea na studio zetu za STARZTZ Shamsa baada ya kuhojiwa amesema Ndoa Ngumu, kubanwa sana akaendelea kusema Siku hizi akichelewa kurudi ni Kesi kubwa na mwisho akida kuwa amempuuza...