29 JUNE, 2020 SHULE KUFUNGULIWA
/image%2F1983706%2F20200616%2Fob_9f2500_magu.jpg)
Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli, leo katika kufunga Bunge la awamu ya 5 likiwa ni Bunge la kumi na moja (11), ameeleza kuwa mnamo Juni 29, 2020 Shule zote kufunguliwa. Aidha baada ya kusema hayo ameongeza akisema sasa...
Read more