Overblog
Follow this blog Administration + Create my blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974

WALE WA RIHANNA NIMEKULETEA KIONJO CHA VIDEO YAKE MPYA HAPA INGIA UJIONEE

Mwimbaji Staa wa Dunia Rihanna 'RiRi' amerudi kwenye Macho ya Dunia baada ya kudhibitisha kwamba single yake Mpya ijayo inaitwa 'Kiss It Better' na ameachia kipisi cha video hiki hapa..

Read more

WANAFUNZI WASHINDWE WENYEWE. SOMA HABARI KAMILI HAPA

Faraja Nyalandu kawawezesha kujisomea hata kwa sms,Faraja ni Mrembo wa Kitanzania ambaye uzito wa jina lake uliongezeka baada ya kushiriki kwenye shindano la Miss Tanzania 2014, ambapo kipindi cha karibuni uzito wa jina lake uliongezeka baada ya kuanzisha...

Read more

RECHO KIZUNGUZUNGU AMLUDIA MUNGU. ANA HAA YA KUTWAMBIA SOMA HAPA

Mwimbaji Recho katika Amplifaya amesema "Ni kweli nimemrudia Mungu, ni maamuzi ambayo nimeyafanya mwenyewe baada ya kuona vitu ni vilevile, Dunia ni ileile na watu ni walewale ndomaana nikaona sio vibaya nikaja na upande mwingine, lakini hii haimaanishi...

Read more

BREAKING NEWS: WABUNGE WATATU WAFIKISHWA MAHAKAMANI DAR ES SALAAM. NIMEKULETEA HABARI KAMILI HAPA

Kutoka katika Mahakama ya Mkazi Kisutu Dar es salaam ni kwamba Wabunge watatu wamefikishwa Mahakamani hapo mchana wa March 31 2016 ambao ni Victor Mwambalaswa wa Lupa, Kangi Lugola wa Mwibara na Sadiq Murad wa Mvomero. Wamekamatwa kwa Tuhuma za Kujihusisha...

Read more

HABARI ZA MAGAZETI LEO. SOMA HAPA

Leo katika Magazeti nikiwa nimewaletea habari mbalimbali ikiwemo habari inayosema "JPM azitikisa taasisi 200 zenye sh. 22 trioni" inayotoka katika Gazeti la MWANANCHI.Alikadharika katika Gazeti la TAIFA LEO limeandika"Aibu Magavana watalii". .. MAGAZ...

Read more

ABIRIA APIGA SELFIE NA MTEKAJI WA NDEGE YA MISRI. SOMA HABARI NZIMA HAPA

Ben Innes (kulia) akipozi katika selfie na mtekaji wa Ndege ya Misri, Seif A-Din Mustafa.Picha za Ben Innes zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, asema alipiga selfie na mtekaji ili auone vizuri mkanda uliodhaniwa kuwa wa Mabomu pamoja nakuonyesha tabasamu...

Read more

IZZO BIZNESS APAGAWISHA WAKAZI WA MBEYA KWENYE TAMASHA LA PASAKA. ICHEKI VIDEO HAPA

Wadau wa Buludani katika jiji la Mkoa Mbeya Jumapili ya Pasaka waliweza kupata burudani ya kipekee kutoka kwa Emmanuel Simwinga maarufu 'Izzo Bizness' ambaye aliwakamata wadau hao kwa vibao vyake mbalimbali wakati wa tamasha la Pasaka jijini hapo. MICHEZO...

Read more

SAMATTA ACHEZA UBELGIJI. SOMA HABARI KAMILI KUHUSU MISHAHARA YA WACHEZAJI WA LIGI HIYO HAPA

Bila kukosea utakuwa na shauku ya kujua ya kujua maisha wanayoishi wanasoka wa Ubelgiji hususani katika kipindi hiki anachocheza Mtanzania Mbwana Samatta Nchini humo.Kiukweli mshahala wa Mbwana Samatta haujawekwa wazi katika vyombo vya habari mpaka sasa,...

Read more

GARI LA KIFAHARI ANALOTAKA KUNUNUA DIAMOND. INGIA HAPA UJIONEE

Diamond Platnumz akiwa katika Exclusive interview na Millard Ayo alidhibitisha kuwa mwaka 2016 atanunua Gari la kifahari aina ya Rolls Royce. Kwa kawaida Gari aina ya Rolls Royce hufikia thamani ya milioni 500 za kitanzania. VIJIMAMBO

Read more

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI. JIONEE MWENYEWE HAPA

Kamati ya Bunge ya miundombinu imeeleza kuridhishwa na utekelezwaji wa mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es salaam ambalo limekamilika kwa asilimia 100 na linatalajiwa kuzinduliwa Aprili 15 na kuanza kutumika Aprili 16 mwaka hu. HABAR...

Read more
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 20 > >>

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974