HAYA NDIYO MAGOLI YA GRIEZMANN YALIYOIPELEKA UFARANSA FAINALI YA EURO 2016...
Ni Mchezo wa nusu fainal uliosubiliwa baada ya masaa kadhaa hivi, katika nusu fainali ya michuano ya ya pili ya Euro 2016 mchezo uliokuwa unamuhusisha timu mwenyeji, usiku wa July 7 2016 timu ya Taifa ya Ufaransa ambao ndio wenyeji walicheza dhidi ya Ujerumani katika uwanja wa Stade Velodrome. Katika Mchezo wa jana Ufaransa wamejikuta kuibuka na rekodi yao ya kuibuka washindi wa Goli 2-0 dhidi ya wapinzani wao Ujerumani.