Top posts
-
MGOMBEA URAIS MAREKANI DONALD TRUMP ANUSULIKA KUUWAWA...
Mwanaume mmoja wa Uingereza anatuhumiwa kupola bunduki ya Afisa mmoja wa polisi katika Mkutano wa kisiasa wa Donald Trump na kutaka kumuuwa Mgombea huyo. Kwa mujibu wa Stakabadhi za Mahakama Michael Sandford anasema kuwa ameendesha gari hadi Las Vegas...
-
LOWASSA KUSAIDIA WATOTO YATIMA DAR ES SALAAM...
Aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Chadema, Edward Lowassa amewataka watanzania kuwajali watu wenye mahitaji maalumu sanasana kwa kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
-
IRENE UWOYA ATOA MISAADA KWA WATOTO KUMI...
Ni baada ya kutoa msaada wa kuwasomesha watoto kumi kutoka katika familia zenye mazingia magumu.
-
LINA SANGA AJA NA HII MPYA MTANDAONI NA KUWAACHA MASHABIKI WAKE KATIKA HALI YA SINTOFAHAMU...
Baada ya Linha Sanga kupoteza acount yake ya Instagram yenye zaidi ya followers milioni 1.3, pamekuwapo na maneno mengi, wapo wanaosema ameiuza na kufungua nyingine.
-
RAIS MAGUFULI AFUNGUKA YAKE "ATA KUZIBA MIDOMO NI DEMOKRASIA"...
Akizungumza jana Ikuru jijini Dar es salaam Rais John Pombe Magufuli amewataka wanasiasa waliopewa nafasi za kuwakilisha wananchi wajikite zaidi katika kuhudumia wananchi na kutimiliza mambo walio ahidi katika kipindi chao cha Kampeini.
-
AFANDE SELE AACHA GUMZO BAADA YA KUTAJA IDADI YA WANAWAKE ALIO NAO...
Msanii wa Muziki na Mwanasiasa kutoka Mji Kasoro bahari, Afande Sele, amefunguka na kusema kwasasa yeye hatarajii kuoa bado yuyupo yupo kwanza ingawa amekili wazi kuwa yupo na wahusiano na wanawake kama sita hivi ambao wanamsaidia kumtunzia [..]
-
WAENDESHA BODA 35 YAWAKUTA MAKUU MAHAKAMANI TEMEKE...
Jeshi la Polisi Manispaa ya Temeke linawashikilia waendesha bodaboda 35 kwa makosa mbalimbali kama kuendesha Pikipiki zao bila kuwa na Kofia ngumu (Helmet).
-
"MIMI NDIO NLIMTOA ALIKIBA, BANGI ILISABABISHA NIDROP KIMZIKI" MR BLUE ALISEMA...
Mr. Blue amesema kuwa yeye ndio aliyegundua kipaji cha Ali Kiba na kuamua kumpeleka studio. Pia ameongeza na kusema kuwa alikuwa anavuta sana Bangi ndizo zilizosababisha yeye ashuke kimziki.
-
BADO KIZAZAAA KWA ZAMARADI DHIDI YA SWALA LILE LA YULE SHOGA....
Ni jumanne hii katika kipindi chake cha Take One aliporusha mahojiano ya mwanaume anayejihusisha na maswala ya ushoga au mapenzi ya jinsia moja, tena aliyekubuhu na ambaye maisha hayo kwake ameyakubali na anayafurahia hicho kimekuwa kipindi controversial...
-
"NI KWELI HAWANA TATIZO?" DIAMOND AWEKA HESHIMA...
Meneja wa diamond Platnumz, Babu Tale ameonyesha kuwa wao hawana tatizo na Alikiba baada ya kupost kipande cha video kinachoonyesha picha ya msanii huyo ndani ya studio ya wasafi Records. Ikiwa ni muda mrefu ikizungumzwa Diamond na Alikiba wana bifu mpaka...
-
PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU VITU VITATU...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam RC Paul Makonda July 2, 2016, akizungumza kwenye kongamanola dini lilofanyika katika uwanja wa Taifa alipiga Marufuku vitu vitatu visionekane katika Mkoa wake wa Dar es salaam, alisema "Kwanza kwa watumiaji wa biashara ya...
-
STORY:JAMAA AFANYA BONGE LA SHEREHE BAADA YA MKE WAKE KUFUZWA KAZI...
Akizungumza na STARZTZ Bwana huyo alisema, wakati anamuoa mwanamke huyo hakuwa na kazi, lakini baadae mwanamke huyo alikuja kutafutiwa kazi na Ndugu yake katikaKampuni moja ya simu akawa analipwa kama milioni 3 kwa mwezi wakati huo mimi mshahara wangu...
-
CHERSEA YATANGAZA KUKAMILISHA USAJILI MPYA...
Klabu ya Chelsea ambayo msimu ujao itaanza kunolewa na aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Italia katika Michuano ya Euro 2016 Antonio Conte imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshamnbuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji alyekuwa anachezea Marseille Michy...
-
ABDU KIBA ATOA UJUMBE HUU MZITO KWA LEBO YA WCB...
Akizungumza kipindi cha XXL cha Clouds FM, Msanii huyo ya Bongo fleva Abdu Kiba amesema 'Sjafikilia kuimba na msanii kutoka WCB, kwasababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.' Aliendela akidai kuwa lebo ya WCB inabebwa na Promotion na akasema "ata...
-
KALIBU UNUNUE GARI IMALA NA BORA KABISA KUTOKA JAPAN KWA BEI NAFUU...
Je! ulikuwa ukijiuliza ununue gari gani imala? Usiwaze sana kwani Japan Autoccom wapo kwaajili yako. Kalibu ujipatie Gari aina uitakayo kwa bei nafuu. wasiliana nasi kwa kupitia 0759110974, 0718370006. KARIBU.
-
INATISHA SANA, JAMAA AKUTWA NA KICHWA CHA BINADAMU...
Katika hali ya kushangaza wengi mwanaume mmoja ambaye ni mfanya biashara huko Mkoani Mbeya, amekutwa na kichwa cha binadamu baada ya kufukua kaburi na kuchukua kichwa cha marehemu, inadaiwa kuwa alifikia uamuzi huo ili afanikiwe kibiashara.
-
VIDEO:HARMONIZE KAACHIA NYIMBO MPYA HII HAPA "MATATIZO"
-
LIONEL MESSI AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIEZI 21 JELA...
Mchezaji nyota wa Argentina na Barcelona Lionel Mess amehukumiwa kifungo cha miezi 21 jela baada ya kupatikana na makosa ya kutumia ulaghai wakati wa ulipaji ushuru, imeripotiwa na vyombo vya habari Uhispania. Wakati wa kesi, waendesha mashtaka walisema...
-
SUMA LEE AFUNGUKA LIVE KUACHA KUJIHUSISHA NA MASWALA YA MUZIKI...
Katika habari zilizoshika headlines July 8, 2016 ni pamoja na hii ya Mwanamziki aliyetikisa na headlines na hits single yake ya Hakunaga ameengia tena kwenye head line baada ya kuhojiwa kutokuonekana kimziki kwa mda mrefu amefunguka na kusema "Mimi bhana...
-
TECNO WAJA NA SIMU MPYA C9, IKUTE SOKONI LEO...
Simu kali ya Tecno Camon C9 yenye uwezo wa hali ya juu katika kupiga picha ikiwa na Camera mbili (Mbele na nyuma) za Megapixel 13, uwezo wa 4G LTE na Technolojia mbalimbali za kisiasa imeingia leo sokoni.
-
USIKOSE LEO MECHIKALI YA FAINALI LEO KATI YA URENO NA UFARANSA...
Mtu wangu ukiwa unasubilia kwa nguvu mchezo mkali utakaochezwa leo mchezo wa fainali ya michuano ya Euro 2016 kati ya timu ya taifa ya Ureno dhidi ya taifa ya Ufaransa huu ni mchezo ambao utachezwa katika uwanja wa Stade De France wenye uwezo wa kuchukua...
-
MTOTO WA MIAKA MINNE AUAWA NA KUTUPWA KISIMANI...
Mtoto wa kike Raihima Salim Ali (4) amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa umening'inizwa kisimani na vidole vya mikono vimekatwa na mashavu kuchubuliwa. Tukio hili limetokea jana asubuhi katika eneo la Njia panda Mbagala, Temeke baada ya mtoto kutoweka...
-
RC PAUL MAKONDA AANDIKA UJUMBE HUU KWENYE UKURASA WAKE WA INSTAGRAM...
Ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram amelazimika kuandika kwenye ukurasa wake sentensi kadhaa ikiwemo na hii ya inayohusu maeneo yasiyo salama. Amesema "Unapofanya biashara katika maeneo machafu kama haya...
-
HIZIZ HAPA SABABU ZA SHAA KUJIONDOA KWENYE UONGOZI WAKE WA ZAMANI...
Ikiwa ni July 15, 2016 ambapo Malkia wa Uswazi Sara Kaisi aka Shaa amefunguka akielezea sababu za yeye kuondoka kwenye uongozi wake wa zamani. Shaa amesema "Nimekuwa na ndoto ya mda mrefu kama ya miaka mitano iliyopita tumeona wasanii ambao niliokuwa...
-
HATIMAYE HAMISA MOBETTO AMTULIZA ZARI THE BOSS LADY...
Hamisa Mobetto yupo kwenye kitimoto, mashabiki wa 'first couple' kama wanavyo jiiita wenyewe Zari na Diamond wamechukizwa na tetesi zinazoendelea kuvuma kuwa mrembo huyo ana uhusiano na muimbaji wa 'kidogo'. Kwa wale waliohudhuria birthday ya mama Diamond...