Top posts
-
BIYONCE ASABABISHA PILISI WAANDAMANE NCHINI MAREKANI SABABU...
Kundi moja la maafisa wa polisi limefanya maandamano kalibu na tamasha lililofanyika mji wa nyumbani wa nyota wa muziki Beyonce huko Houston.
-
MSANII SHETA ASEMA SHIKOROBO INGEKIKI BILA HATA KCEE KWANI...
Hata hivyo wimbo wake mpya, Namjua ni moja kati ya nyimbo zake zilizopata kick kila kona ya Bongo kwa sasa umeshafanikiwa kupata views zaidi ya Laki mbili kwenye mtandao wa Youtube ndani ya siku nne toka umetoka.
-
MHE PAUL MAKONDA AZIDI KUFICHUA MAKONTENA YA SUKARI
Imezidi kugundulika Sukari zilizofichwa na watu, Mhe Paul Makonda sasa kaamua kwenda mguu kwa mguu kusaka Wale waoficha sukari.
-
2FACE KUPEWA SHAHADA YA HESHIMA ...
Msanii wa Nigeria, 2Face amekuwa msanii wa kwanza wa Nchi hiyo kupewa shahada ya heshima na Chuo Kikuu cha Igbinedion, Okada
-
HII NI KASHFA ILIYOMPATA SELENA GOMEZI IKIHUSU KUIBA MME WA MTU...
Selena Gomezi amehusishwa kwenye mahusiano na Orlando Bloom baada ya kuonekana usiku wakiwa wote klabu baada ya Show huko Las Vegas, Nchini Marekani
-
JIPU!! KUMBE HAWA MASTAA DIAMOND NA ZARI WOTE WANACHEPUKA...
Staa wa Bongo fleva Diamond Platnum amekanusha juu ya stori zilizozagaa mtandaoni kwamba mrembo wake Zari a.k.a Mama Tiffa anachepuka na Ivan huku Diamond akichepuka na Video qeen.
-
RUBY NAOGOPA KUMUANIKA MPENZI WANGU ADHARANI KWASABABU...
Msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri Hellen George 'Ruby' amesema kaati ya vitu anavyo viogopa Duniani ni pamoja na kumuanika mwandani wake hadharani.
-
RASHFORD ATAJWA KIKOSI CHA UINGELEZA CHA EURO.
Meneja wa timu ya taifa ya Uingereza Roy Hodgson amemtaja chipukizi wa Manchester United Marcus Rashford kwenye kikosi chake cha wachezaji watakaocheza Euro 2016. Rashford, 18, alianza kuchezea timu kuu ya Uinted kipindi cha pili cha msimu lakini aliwika...
-
JEDWALI LA MSIMAMO WA LIGI YA EPL 2015/16
Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL kufikia 16 Mei, 2016. Nambari Klabu Mechi Mabao Alama 1 Leicester 38 32 81 2 Arsenal 38 29 71 3 Tottenham 38 34 70 4 Man City 38 30 66 5 Southampton 38 18 63 6 Man Utd 37 12 63 7 West Ham 38 14 62 8 Liverpool 38 13 60...
-
STAA RAY ATIMKIA RWANDA...
Msanii wa filamu, Vicent Kigosi 'Ray' hivi kalibuni ametimkia huko Rwanda baada ya kualikwa kushiriki kuandaa filamu itakayoshirikisha Wasanii wa Tanzania na Rwanda.
-
JUHUDI ZA MBUNGE MAARUFU WA ZAMANI KURUDI BUNGENI KWA KUTUMIA MAHAKAMA ZAKWAMA LEO!!!
TABORA: aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ameshindwa katika kesi aliyoifungua kupinga ushindi wa Hasna Mwilima wa CCM.
-
OMMY DIMPOZ AFUNGUKA LIKE NEVER BEFORE SOMA HAPA...
Msanii mkali wa Muziki, Ommy Dimpoz amesema haumizwi akili na kauli mbalimbali za mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii wanaosema anajipamba kuzidi, lakini yeye amesema haumzwi na hayo maneno kwasababu anajua ni mwanaume wa aina gani.
-
MREMBO FAIZA ALLY AFUNGUKA MENGI ASEMA TOKA AACHANE NA SUGU...
Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja aitwae Sasha. Faiza Ally amedai hajawahi kufanya au kutoka kimahaba na Mtanzania yeyote toka alipoachanana mume wake Joseph Mbilinyi 'Sugu' kwa madai kuwa anaogopa kudhalilishwa.
-
VIDEO: GIGY MONEY ADAI KUWA ATA AKIWA HAWARA WA MATONYA HAMNA SHIDA KWANI...
Story ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii kuwa Matonya kwa sasa anachepuka kimahabati na Gigy Money huku wakisikika kuwa ni Kick ya Ngoma yao ya Supu. Katika mahojiano waliyofanya na E News wote wawili walishindwa.
-
JAYDEE AJA NA HAYA MAPYA...
Msanii huyu Lady Jaydee amekataa jina la Binti Machozi.Akiongea na East Africa Tv Jydee amesema ameamua kubadili jin hilo kwani hata yeye sasa hivi hatumii jina la Binti Machozi, akiamini msemo wa watu kuwa jina huzaa maana kwenye maisha.
-
BAJETI 2016/2017 WASANII, WABUNIFU NA WANAMICHEZO WATENGEWA BILIONI 3...
Serikali itatenga kiasi cha shilingi Bilioni tatukusaidia kazi za Wasanii,wabunifu na wanamichezo. Kiasi hicho kimependekezwa kwenye makadilio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 kama yalivyowasilishwa na na Waziri wa Fedha na mipango Dkt...
-
BOT YAPANGA KUONDOA NOTI ZOTE ZA MIA TANO MIEZI MINE IJAYO...
Bank kuu ya Tanzania (BOT) imetangaza kuondoa noti zote za shilingi mia tano baada ya miezi minne baada ya uchakavu.
-
STAA TIFFAH DANGOTE AKIWA KATIKA MWONEKANO WA KIPINDI CHA RAMADHANI...
Angalia na uache comment ili ata baba ake akipita ajue we ni shabiki ake wa nguvu!!!
-
IKIWA NI RATIBA YA MICHUANO YA LIGI KUU NCHINI ENGLAND...
Ratiba ya michuano ya ligi kuu Nchini England imetoka jana ambapo mabingwa wa Leicester City wataaanzia ugenini dhidi ya Hull City, wakati huo Arsenal wakiwa nyumbani wakiwakaribisha Majogoo wa jiji Riverpool.
-
MREMBO HUDDAH MONROE AENDELEA KULA BATA HUKO CHINA...
Akiwa katika muonekano tofauti tofauti wa kifashiooon Mrembo huyu mwenye Madaha kabisa ni ndani ya China.
-
BONDIA FLOYD MAYWEATHER AKIWA KATIKA NDEGE YAKE MPYA YA DHAHABU...
Bondia maarufu Duniani Floyd Mayweather ameingia kwenye headlines tena baada ya kununua Ndege nyingine ya Dhaabu ya kutembelea, hii ni Ndege yake ya pili kwani amedai ile ya kwanza haikidhi mahitaji yake 'hainitoshi'
-
SHILOLE AWA VIDEO QEEN KWENYE VIDEO YA MANFONGO 'HANAGA USHEMEJI...'
Msanii wa Nyimbo ya Singeli Manfongo amefunguka katika kipindi cha Enews na wimbo wake mpya wa 'Hainaga ushemeji' ambayo Video qeen wake ni mwanadada Shilole.
-
YANGA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1-0 DHIDI YA MO BEJAIA...
Usiku wakuamkia June 20 Dar es salaam Young Africans walikuwa Algeria kucheza mchezo wao wa kwanza katika kundi A wa hatua nane bora dhidi ya wenyeji wao MO, katika Mechi hii Young Afrikans awalikubali kipigo cha bao 1-0.
-
NYUMBA ZATEKETEA MOTO KATIKA KISIWA CHA UVUVI WILAYANI SENGEREMA...
Nyumba kadhaa za wakazi wa kisiwa cha Uvuvi cha Kome Mchangini Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza zimeteketea kwa moto usiku wa kamkia leo. Akiongea kwa njia ya simu kutoka kisiwani humo Ofisa mtendaji wa kata ya Buhama, Musa Mwilomba amesema chanzo cha...
-
BABA ATIWA MBALONI BAADA YA KUMBAKA MTOTO WAKE MWENYE UMRI WA MIAKA MITATU...
Hili ni tukio lilito tokea Juni 7 Mkoani Shinyanga baada ya mtoto kufikishwa kwenye kituo cha Afya na kubainika kufanyiwa kitendo hicho cha kikatili.