Top posts
-
MKE WA MENGI AMEYAONGEA HAYA KUHUSU SWALA LA MAJIPU...
"Hivi haya Mmatrioni yaliyokuwa yanatafunwa na haya Majipu yanatoka wapi, wakati tulikuwa tunaaminishwa kwamba Nchi yetu Maskini??
-
MREMBO LULU DIVA MAPNZI YAKE NA NAY SIO YA MTANDAONI...
Mrembo huyu anayekuja kwa kasi sana katika ulimwengu wa Video Qeen Bongo, Lulu Abbasi 'Lulu Diva' amefunguka na kusema Mapenzi yake na Staa wa Bongo fleva, Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' sio ya mitandaoni so ata akiweka picha ya mwanamke mwingine...
-
MREMBO BABY MADAHA AMESANUKA HAYA KUHUSU MPENZI WAKE...
Mwigizaji wa Filamu za Bongo Baby Joseh Madaha, ameibuka na kudai kwasasa ameamua kutulia na mdoa yake na Mwarabu wa Dubai ambaye hakutaka kumtaja jina.
-
DADA AFUNGUKA WAZI WAZI KUMZIMIA RAIS!!!!....
Huyu ndiye mtangazaji kutoka Uganda aliyetamka waziwazi kuwa anamzimia Rais!! ni inouma sana!!
-
NE-YO AONYESHA UKONGWE WAKE KATIKA SHOW YA JEMBEKA FESTIVAL 2016...
Msanii wa Muziki kutoka Marekani Ne-Yo ameandika historia ya muziki mkoani Mwanza baada ya kufanya show ya nguvu katika tamasha la Jembeka Festival 2016 lililofanyika Jumamosi hii katika Viwanja vya CCM Kirumba.
-
HII INAITWA THE MAJANGAZI, BABA WA FAMILIA AJIFUNGUA MTOTO...
Familia inayoundwa na wanandoa Bianca na Nick Bowser, ni familia yenye furaha ila inayoshangaza wengi baada ya Nick (Baba wa familia) kupata ujauzito na kujifungua..
-
MASTAA WA BONGO WANAOONGOZA KWA SKENDO KILA KUKICHA...
Wema Sepetu: Masta wa Bongo wamekuwa wakiandamwa sana na skendo huku wengine wakiona ndio njia ya kujing'arisha kisanii, skendo zao zimekuwa za aina mbalimbali lakini ikiwa wengi wao wakiandamwa na skendo za ngono katika makala hii utaipata Top 10
-
HUU NDIO MUONEKANO WA NDANI WA MELI KUBWA DUNIANI, JE UNAIKUMBUKA TITANIC?...
Mapema wiki hii Meli ambayo inauwezo wa kuchukua Abiria 6,780 iling'oa nanga Southampton kwaajili ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuzinduliwa rasmi, watu 3000 wamepata bahati ya kupanda Meli hii kubwa Duniani.
-
BAYER YABEBA KOMBE LA UJERUMANI, GUARDIOLA AMWAGA CHOZI AKIAGWA...
Bayern Munich imeishinda Borrusia Dortmund kwa penalti 4-3 na kubeba ubingwa wa Kombe la Ujerumani. Huo ni ushindi wa 11 kwa Bayern kushinda makombe mawili ya Bundesliga na Kombe la Ujerumani kwa wakati mmoja.
-
ALIKIBA AWATESA MASHABIKI WAKE KATIKA MITANDAO YA KIJAMII...
Tupo kwenye ulimwengu ambao mitandao ya kijamii imegeuka kuwa chakula ambacho unapaswa ule kila siku. Kwa watu maarufu mitandao imegeuka kuwa sehemu muhimu kwao kuwa kalibu na mashabiki wao.
-
VIDEO: HII INAONYESHA DIAMOND ALVYOMWAGA HELA KATIKA BIRTHDAY YA MTOTO WA AUNTY EZEKIEL...
Aunty Ezekiel alitamani angeenda na mwavuli wa kujikinga na mvua ya hela iliyomnyeshea juzi kwenye Birthday ya kutimiza mwaka mmoja ya mwanae.
-
KAMA ULIKOSA HII YA RAIS JOHN MAGUFULI ALIVYOMTEUA MHE. MIZENGO PINDA KUWA MKUU WA CHUO KIKUU CHA HURIA TANZANIA...
Rais Dkt Magufuli akiwa na mazungumzo macache na Mhe Mizengo Pinda baada ya kumteua kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Huria.
-
KATIKA HEADLINES LEO NI KUHUSU CHID BENZ KUTOROKA SOBER HOUSE...
Wakati wadau wa Muziki wakifafanuakuwa msanii wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwilo 'chid Benzi' yuko katika kituo cha kusaidia waathirika wa madawa ya Kulevya 'Sober House' kilichopo Bagamoyo Mkoani Pwani, inadaiwa Chid Benz ashatoroka kitambo na...
-
NYOTA NDOGO AZAWADIWA GARI KAMA ZAWADI YA HARUSI...
Mama mlezi wa pwani imeonekana ashapata wa kumtunza na kumtunuku asilimia moja moja baada ya kuzawadiwa Gari kama zawadi ya Harusi.
-
TCRA YAIADHIBU EATV NA RADIO E FM, IJUE SABABU HAPA...
Dar es salaam Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), imevitoza faini vituo vya EATV na E FM baada ya kukiuka kanuni za utangazaji[...]
-
STAA MBWANA SAMATTA AENDELEA KUWA JUU BAAYA YA KUIPELEKA GENK EUROPA LEAGUE...
Ikiwa ni May 29, 2016 Mbwana Samatha ameandika Historia mpya kwenye maisha yake baada ya kuisaidia timu ya Genk kushinda mchezo wa fainali ya play off na hatimaye kufuzu kucheza michuano ya Ulaya (Europa League)
-
LISU, ZITTO, MDEE NA BULAYA WATIMULIWA BUNGENI...
Wabunge wa Upinzani, Tundu Lissu na Esther Bulaya wamesimamishwa kutokuudhuria vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na kung'ang'ania kurushwa kwa matangazo ya moja kwa moja ya Bunge.
-
VIDEO: BUNGENI KWA PAMBA MOTO BAADA YA WABUNGE KUFUKUZWA BUNGENI DHIDI YA KUFUKUZWA KWA WANAFUNZI UDOM... WANAFUNZI
Hii hapa video iangalie alafu uache Comment juu ya hili swala la Wanachuo wa UDOM kufukuzwa..
-
POLISI YAWASHIKILIA WATU 15 (PANYA ROAD) KWA TUHUMA ZA KUVAMIA MAKAZI YA WATU...
Polisi kanda Maalumu ya Dar es salaam inawashikilia watu 15 maarufu kama Panya Road kwa madai ya kuvamia makazi ya watu wa eneo la Vingunguti Mtakuja na kuwashambulia na kuwajeruhi baadhi ya wakazi wa eneo hilo na kuwalazimisha kuwapatia pesa.
-
STAA LULU MICHAEL AWAFUNGUKIA WADODOSA MANENO SOMA HAPA...
"we nichukie tu bila sababu utazeeka buure!!!-n with[...]
-
MABONDIA WA KULIPWA RUKSA KUSHIRIKI KWENYE OLIMPIKI MWAKA HUU...
Mabondia wa kulipwa wameruhusiwa kushiriki kwenye mashindano ya Olimpiki mwaka huu jijini Rio de Janeiro, Brazil baada ya chama cha Ndondi cha kimataifa, AIBA kukubali kubadilika kwa katiba. Jumatano hii
-
YALIYOJILI LEO BUNGENI MJINI DODOMA ...
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, akiwasilisha bajeti ya Wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2016/2017. Bungeni mjini Dodoma.
-
IRENE OWOYA AJA NA HII MPYA BAADA YA KUKAA KIMYA KWA MUDA...
Mwigizaji wa filamu Irene Uwoya baada ya ukimya wa muda mrefu bila kuachia kazi, amejipanga kuachia Tamthiriya yake iitwayo "DramaQeen"
-
MENEJA BABU TALE AFUNGKA HAYA MAZITO JUU YA WASANII WAKE KUWA NA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA WANAWAKE WANAO WAZIDI...
Hii ni baada ya Kambi ya WCB kuonekana wasanii wake kutoka kimapenzi na wanawake wanaowazidi umri, Babu Tale ametweleza haya 'Sisi tunameneji wasanii hatumeneji hisia zao, lakini ikitokea msanii amempenda mwanamke fulani tunamuacha kwasababu ni mapenzi...
-
MAGUFULI AMSUKUMIA ZITTO UKAWA...
Uamuzi w Chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe kutaka kuungana na vyama vinavyounda Umoja wa Kaatiba ya wananchi (UKAWA ) kupinga kufukuzwa kwa wa Bunge saba wa upinzani kutoshiriki vikao vya Bunge una dalili kuchochewa misimamo ya Serikali...