Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeendelea tena usiku wa October 19 2016 kwa michezo nane tena kuchezwa kama iliyochezwa usiku wa October 18, mchezo wa Man City dhidi ya FC Barcelona katika dimba la Nou Camp ulikuwa ndio mchezo ulioteteka hisia za...
Burudani ya michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliendelea usiku wa October 18 2016 kwa viwanja 8 kuchezwa michezo 8 ya hatua ya makundi round ya tatu, moja kati ya michezo iliyoshuhudiwa ikimalizika kwa idadi kubwa ya magoli ni mchezo kati ya Real Madrid...
Ni mrembo huyu kutoka katika Tasnia ya bongo movie leo kaja na hii mpya, akiongea na studio zetu za STARZTZ Shamsa baada ya kuhojiwa amesema Ndoa Ngumu, kubanwa sana akaendelea kusema Siku hizi akichelewa kurudi ni Kesi kubwa na mwisho akida kuwa amempuuza...
Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa Malkia wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anataka kujikita zaidi kwenye ibada ya kufanya mambo ambayo yanampendeza mwenyezi Mungu. Mwigizaji huyo ametangaza uwamuzi...
Hii ilitokea jana ikiwa ni wasanii wawilitu kutoka Tanzania na kutoka katika lebo ya WCB iliyoko chini ya Diamond Platnumz, wasanii hawa wawili ni Diamond Platnumz na Harmonize waliweza kushinda tuzo za AFRIMMA zilizokuwa zikitolewa alfajiri ya jana huko...
Nikiwa katika kuzulula kwangu leo nimekutana na hii habari ya kusisimua kweli kutoka kwa mkali Abdu Kiba, Msanii huyu kutoka katika tasnia ya ya bongo fleva amesema Alikiba hafanyi naye Kolabo kwasababu yupo bize na wasii wengine.
Mtu wangu wa nguvu ntakuwa nikikusogezea zile habari za kila kitakachokuwa kinaendelea kuhusu Miss Tanzania Mwaka 2016 ikiwa fainali ni tarehe 28/10/2016.