Hii ni kati ya habari zilizoshika headlines zetu leo, inasemekana alienda Kanisani kuombewa, baada ya ujauzito wake kupitiliza muda mala akaanza kujinyonga nyonga kama Nyoka kumbe tumboni alikuwemo Nyoka mala akajifungua Nyoka mbele ya waumini. Waumini...
Kila kuicha nazikusanya zile habari zinazowahusu wasanii mbalimbali na sasa ni zamu ya hawa watani wa Jadi Diamond na Alikiba. Habari nilizonazo zinasema Alikiba amshangaa Diamond kumtuma Meneja wake kwenda kumzimia MIC Kenya, ahoji huo ni Usimba au ni...
Kama kawaida yangu kuzulula nikitafuta habari za kukujuza wewe na leo nimekutana na hii ya huyu Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz inayosema "Diamond amuomba Mungu apate mtoto wa kiume" huku nyingine zikisema Diamond amepoteza Imani kabisa na Tiffah,...
Kila kukicha mtu wangu nazidi kuzikusanya habari kutoka sehemu mbalimbali zenye matukio tofauti tofauti, leo ninayo hii habari inayomuhusu yule jamaa aliyetobolewa macho na scorpion, leo katika kuzurula kwangu nimekutana na habari hizi zinazosema Ndugu...
Naendelea kukusogezea zile habari muhimu kutoka katika Ulimwengu wetu huu, usikae mbali nami mtu wangu kaa kalibu kwaajili ya kuyajua mengi kutoka STARZTZ.
Mwigizaji kutoka katika Tasnia ya Bongo movie anashukiwa kuachana na mmewe wa ndoa huku mashabiki wake wakiishia kubaki midomo wazi, Inasemekana kwamba chanzo cha wao kuachana ni Mtoto. Riyama anena kwamba Mwanaume ametimkia kwao, huku watu wakisema Ndoa...
Na hii ni kati ya habari nilizonazo zinazomuonesha Staa wa Bongo movie Ray kukutwa na skendo hii ya kuvunja ndoa ya mtu. Inasemekana amevunja ndoa ya mtu huku ikidaiwa chanzo ni kugombea penzi la Chuchu.
Katika habari tulizonazo leo katika Studio zetu leo ni pamoja na hii ya Mchezaji kutoka katika timu ya manchester United Wyne Rooney, habari zikiwa zinasema "Ameshauliwa kuama Man U" habari hizi zimewafanya wachezaji wenzake na Kocha wa Man U kuishia...