Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo juu ya utengenezaji wa Sabuni na bidhaa za aina Mbalimbali alipotembelea maonesho ya maadhimisho ya sherehe hiyo.
March 31 miongoni mwa habari kubwa za siku Nchini Kenya ni Wabunge wa Upinzani kutolewa nje baada ya Kupiga Filimbi wakati Rais Uhuru Kenyata akihutubia Bunge la Nchi hyo ambapo KTN alisema filimbi hizo zilisababisha Hotuba ya Rais kuchelewa kusomwa kwa...
Kutoka katika Mahakama ya Mkazi Kisutu Dar es salaam ni kwamba Wabunge watatu wamefikishwa Mahakamani hapo mchana wa March 31 2016 ambao ni Victor Mwambalaswa wa Lupa, Kangi Lugola wa Mwibara na Sadiq Murad wa Mvomero. Wamekamatwa kwa Tuhuma za Kujihusisha...
Ben Innes (kulia) akipozi katika selfie na mtekaji wa Ndege ya Misri, Seif A-Din Mustafa.Picha za Ben Innes zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, asema alipiga selfie na mtekaji ili auone vizuri mkanda uliodhaniwa kuwa wa Mabomu pamoja nakuonyesha tabasamu...
Afsa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki (wa 3 kushoto) akimkabidhi Kanizio Annatory (Katikati) ambaye ni miongoni ma vijana waliowezeshwa na mpango wa Airtel Fursa "Tunakuwezesha" Mashine na vifaa vya kuoshea Magari pamoja na Sehemu ya kisasa...
Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akipiga Ngoma na kikundi cha Ngoma za asili cha Chato mala baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Mkutano Chato Mkoani Geita.
MATUKIO