Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk John Pombe Magufuli jana tarehe 19 Aprili, amefungua rasmi Daraja la Kigamboni linalounganisha usafiri wa Barabara kati ya Kigamboni na Kurasini kwa jiji la Dar es salaam na amependekeza Daraja hilo liitwe Daraja la Nyerere...
April 18, 2016 Mabsi ya Abiria yaendayo haraka yalifanyiwa majaribio ikilipotiwa ni kujiandaa na kuanza Kazi rasami ya kubeba abiria na kushusha kwenye vituo mbalimbali vya barabara zake maalum zilizo kamilika.
Maelezo ya mwanzo ya Tunda Man amesema"Tulikuwa tunatoka Njombe baada ya kumaliza Show yetu na tukasema bora tusilale tuwahi kufika Dar, tumetoka Njombe saa 10 Alfajili mimi nikiwa nasikia usingizi nikamwambia mwanangu hebu tuendeshe kidogo, kufika kijiji...
Makamu wa pili wa Zanzibar Balozi Seif Alli Iddi akikagua Gwaride la wahitimu wa mafunzo ya uongozdogo wa Polisi katika ngazi ya Ukoplo, Sajenti na Stafu Sajenti hapo Chuo cha polisi Ziwani Mjini Zanzibar.
April 16 Rais John Pombe Magufuli amefanya uzinduzi wa mradi wa barabara ya juu (Flyover) Dar es salaam, barabara inayotarajiwa kuanza kufanya kazi mwaka 2018, lengo likiwa ni kupunguza kero za usafiri katika jiji la Dar es salaam , Barabara inayotengenezwa...
Kumejitokeza watu wanatapeliwa na wizi wa Magari, Mtu anaenda kijiweni anakuta Gari na ananunua, Salali ni Mtu aliyepewa Kibari na Mahakama hawa wa vijiweni hawatambuliki.
Rais wa Kusin Salva Kiir Mayardit akipokea Maua kutoka kwa Mtoto Sharon Innocencia Shiyo mala baada ya Kuwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam na kulakiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuli ya Muungano Dk John Magufuli.
Wakazi wa jiji la Dar es salaam na Vitongoji vyake leo wanapata fursa ya ya kulitumia kwa mala ya kwanza Daraja la Kigamboni linalotarajiwa kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli siku ya Jumanne ya wiki ij...
April 15 Rais wa Sudan Kusin Salva Kiir amewasili Nchini na kukutana na mwenyeji wake Rais John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Salva Kiir ametia sain Mkataba wa kujiunga rasmi na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Wizara ya ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inapenda kutaarifu Umma kuwaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli anatalajiwa kuwa Mgeni rasmi katika sherehe za uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi wa barabara ya juu (Flyover)...