Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog
15 Mar

WEMA SEPETU AKANA KUWA NA MPENZI MWINGINE CONGO

Published by elipidius geofrey

Kwenye headlines za Wema Sepetu inasema, Muigizaji huyo staa wa Tanzania asemekana kuwa na mahusiano ya Kimapenzi na Mcongo. Sasa leo kupitia Instagramamejibu tetesi hizo na kuandika "sijawahi na sintowahi na mwanaume wa Mkongo wa aina yoyote.

STARZTZ

WEMA SEPETU AKANA KUWA NA MPENZI MWINGINE CONGO
Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974