Hatimaye kwa mala ya kwanza Wema Sepetu kuhusu uhusiano wa aliyekuwa mpenzi wake Diamond Plutnums na Mrembo wa Uganda Zari The boss Lady. Wema lianza kwa kuwasifia na kusema anaipenda couple yao."Aisee nawapenda they make a good couple"
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amekagua hospitari ya rufaa ya mkoa wa Kagera na kumpa siku 5 Kaim katibu tawala wa mkoa huo ,Bw. Adam Swaiamletee taarifa juu ya matumizi ya sh. milioni 80 ambazo ni fedha za UKIMWI na taarifa nyingine ya milioni 40 za ukarabati...
Kamishana wa jeshi la polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame akizungumza na waandishi wa habari kkuhusu matokeo ya ulipuaji wa mabom na kuchoma moto nyumba na maskani za CCM Unguja na Pemba.
Rais John Pombe Magufuli asema haiwezekani saa mbili asubuhi vijana wanacheza pool wakati wazee wapo shambani, kama hawataki kufanya kazi kwa kupenda walazimishwe!!!
Basi hili lilipata ajali dak 15 kabla ya basi hilo kufika katika kituo cha mabasi Ubungo likitokea Kahama Shinyanga. Abilia walio jeruhiwa kwa wakati huo ni zaidi ya 30
Mahakama kuu inatarajia kusuluhisha kesi iliyofunguliwa na Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) dhidi ya Mbunge wa Kingoma Mjini Zitto Kabwe na wenzake March 23, mwaka huu.
Jeshi la police kanda maalumu ya Dar es salaam limefanikiwa kuwakamata jumla ya watu 287 ambao ni dada poa pamoja na kaka poa katika operation maalum iliyofanyika maeneo ya jiji hilo.
Makamu wa Rais wa Kampuni ya Total Afrika Mashariki Javier Rielo amemuhakikishia Rais Magufuli kuwa kampuni hiyo itaanza ujenzi wa mradi wa bamba la kusafilisha mafuta, kutoka Uganda adi bandarini Tanga.
Kwenye headlines za Wema Sepetu inasema, Muigizaji huyo staa wa Tanzania asemekana kuwa na mahusiano ya Kimapenzi na Mcongo. Sasa leo kupitia Instagramamejibu tetesi hizo na kuandika "sijawahi na sintowahi na mwanaume wa Mkongo wa aina yoyote.