BAROZI JUMA MWAPACHU ALUDI CCM
Balozi Juma Mwapachu akikabithiwa kadi ya CCM kata ya Mikocheni. Amedai sababu iliyomfanya yeye kuludi chamani ni baada ya kulidhishwa na kupendezwa na utendaji kazi wake kwa sasa.
Read moreKwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974
Balozi Juma Mwapachu akikabithiwa kadi ya CCM kata ya Mikocheni. Amedai sababu iliyomfanya yeye kuludi chamani ni baada ya kulidhishwa na kupendezwa na utendaji kazi wake kwa sasa.
Read moreRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akagua na kuweka jiwe la Msingi katika ujenzi wa kituo cha kufua Umeme cha Kinyerezi jijini Dar es salaam.
Read moreIkiwa zimebaki siku 3 kufika uchaguzi wa marudio Zanzibar,Jaji mkuu wa Zanzibar Othman amefunguka na kueleza "sisi kama mahakama ya Zanzibar tupo vizuri kiukweli katika kazi yoyote ile hakukosi changa moto".
Read moreMwigizaji Nisha ameingia kwenye headlines baada ya kusafili mala kwa mala kwenda China. Afunguka na kusema kinachompeleka China mala kwa mala ni kazi zake za kibiashara, alidai yeye ni mfanya biashara wa Nguo,Viatu,Nywere n.k. Hiyo imetokea baada ya mashabiki...
Read moreAmplifaya ya Crouds FM ilipata nafasi ya kuzungumza kwa simu na mfungwa Mtanzania, aliyefungwa Gereza moja la Jack Clif, Jamaa huyo ambae jina lake limehifadhiwa amekuwa Gerezani hapo toka mwaka 2007 kwa kosa la kukamatwa na dawa za Kulevya.
Read moreRais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuaisha Said Meck kuwa mkuu wa mkoa wa Kilianjaro jana Ikulu jijini Dar es salaam.
Read moreKwa kile kinachoonekana mashabiki wa Yanga wana kiu ya Mafanikio ndani na nje ya Uwanja. Kulingana na hayo juzi waliwataka wachezaji wao kuvaa suti pindi waendapo kushiriki mashindano ya Kimataifa!!
Read moreBaada ya label ya WCB kumsaini mkali wa hit single ya Bado 'Harmonize' na kuendelea kufanya vizur katika soko la muziki wa Tanzania.Diamond Platnumz ambaye ni msimamizi wa label hiyo alisema kumsajili msanii mpya walie msaini katika label yao.
Read moreRais Jamhuli ya Muungano wa Tanzania dk John Pombe Magufuli akimuapisha Salum Mustafa Kijuu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera katika Hafra ya kuwaapisha wakuu wa mikoa iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam jana.
Read moreWaziri mkuu Kasssim Majaliwa akipewa kahawa zilizo kaangwa maarufu kama 'akamwani' ikiwa ni mapokezi ya kimila ya wahaya wakati alipokwenda nyumbani kwa waziri wa zamaniwa Ardhi Profesa Tibaijukamjini Mlebakutoa pole kufuatia msiba wa mama yake mzazi...
Read moreKwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974
June 7 2020
June 7 2020
June 18 2018