Uchaguzi mkuu wa October 2015 ulikuwa ni uchaguzi uliovuta hisia za wengi na idadi kubwa ya watu walihamasika kushiriki uchaguzi huo.NEC yadai kuenelea na uchaguzi kama kawaida.
Tukiwa tunajua katika ile list ya wanyama wakali Duniani ambao binadamu hawatakiwi kujisogeza au kucheza nao inamaana ukisikia kuna sehemu Simba kajitokeza mtaani, hata Pua hutatoa nje. Sasa ona huyu Msichana Mrembo kabisa anavyomchezea!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aendelea kuisuka serikali yake kwa kumteua Profesa Kahyarara kuwa Mkurugenzi mkuu wa shirika la Hifadhiya Jamii (NSSF), akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Ramadhan Dau.
Ligi kuu ya soka Tanzania bara iliendelea March 19 kwa Simba kucheza na Coastal Union Mkwakwani Tanga ambapo Simba waliibuka kidedea kwa kuifunga Coastal Union goli 2-0.
Meja Jenerali afariki na afufuka!!! Nihabari iliyoandikwa katika gazeti la Risasi.Madaktari wathibitisha kifo chake, maiti yakaa siku 4 Asimulia mazito aliyoyaona baada ya kifo