Police Mkoani Morogoro inamshikiria George (29) mkazi wa Shinyanga, kwa kukutwa na silaha za kivita aina ya SMG iliyofutwa namba zake za usajili, Magazine mbili, risasi 21 pamoja na panga vikiwa vimehifadhiwa ndani ya begi yake la nguo.
Serikali imesema inafanya juhudi za makusudi kuhakikisha kuwa watoto wenye mahitaji maalum wanapata elimu sawa na wengine, ambapo mkazo wa sasa ni kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji.
Serikali ya Ujerumani imetoa msaada wa Ndege maalumu aina ya "Husky A-1C Aircraft" kwa Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kusaidia katika Doria za kupambana na ujangili katika Pori la Akiba Selous.
Rais ametoa mchango huo katika kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato Mkoani Geita kwa ajili ya kuchangia upanuzi wa kanisa hilo ambapo pesa hizo zimekabidhiwa na Kaimu Mnikulu Ngusa Samike katika Misa ya pili ya Ibada ya Jumapili ya pili ya Pasaka,...
Bada ya kuishi pamoja miezi isiyopungua sita tulizinguana aikabidi kila mtu achukue hamsini zake 'Sikuchukua uamuzi ila wote ndio tulichukua uamuzi... nilimuacha na ujauzito wang na tayari amejifungua mtoto wa kike ambaye ana kama mwezi mmoja na nusu,...
Imetokeakwa Mwimbaji wa Davido wakati alipotua Congo Brazaville kwa ndege binafsi akakutana na shabiki anaeonekana kuwa muhudumu wa Hoteli amabaye aliangua kilio baada ya kumuona Davido, Baada ya Davido kuona hayo akaanza kumbembeleza.
"Wamekwisha " ni habari iliyo andikwa katika Gazeti la DIMBA. Na katika Gazeti la MTANZANIA limeandika "Waziri wa JK mikononi mwa Takukuru".Nanyngine kemkem
Kamati ya Bunge ya kudumu ya Ardhi, Maliasili na utalii imepokea mchanganuo wa Mradi wa uwezeshaji, umiliki waardhi, utakao gharimu dola za Marekani milioni 15.2.
Wazazi wanaozaa watoto wenye ulemavu wa aina mbalimbali wametakiwa kuwapokea, kuwafurahia na kuwapa Malezi na mapenzi kama ilivyo kwa watoto wengine kwani huo ni mpango wa Mwenyezi Mungu.
Mwanafunzi wa kike anayesoma Darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Kakurungu, Kata ya Milambo, Itobo Wilayani Nzega, Asia Paulo amefariki Dunia baada ya kupigwa na Radi.