DKT. ALI MOHAMED SHEI APONGEZWA LONDON . INGIA HAPA KUPATA HABARI KAMILI
Tawi la CCM London Diaspora lampongeza Dkt Shein kwa kuchguliwa tena kuwa Rais wa Zanzibar
Read moreKwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974
Tawi la CCM London Diaspora lampongeza Dkt Shein kwa kuchguliwa tena kuwa Rais wa Zanzibar
Read moreBabu Tale ni Meneja wa wa kundi la Tiptop Connection na pia ni Meneja wa Diamond Platnumz ambapo stori kubwa iliyomuweka kwenye headlines kuanzia march 21 2016 ni uwamuzi wake wa kumsaidia Rapper Chid Benz aliyekiri kutumia dawa za kulevya, uamuzi umepigiwa...
Read moreNavy Kenzo ni kundi l wakali wa bongo freva linaloundwa na wawili ambao ni Aika na Nahreel, hii ni picha ikionyesha mzuka katika show yao Club 71 Tegeta Dar es salaam ambapo wapo kwnye mzunguko wa Tour ya kuitambulisha Single yao mpya'Kamatia.
Read moreSalim Asas asaidia kuhudumia waathirika wa Dawaza kulevya.Baadhi ya vijana waliokuwa wakitumia madawa ya kulevya kwa sasa wameachana nazo.
Read moreSingida Mahakama ya Mwanzo ya Ikungi Mkoani Singida imemhukumu Diwani wa kata ya Siuyu Tarafa Mungaa (CHADEMA) Jerad Mahami Jastin (34) kifungo cha miezi 6 Jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la Kuikosesha Serikali mapato.
Read moreKampuni ya Simu ya Tigo Tanzania imetoa msaada wa Madawati 500 yenye thamani ya Milioni 82.5 kwenye Shule za Msingi katika Mkoa wa Dar es salaam ikiwa ni Mchango kusaidia Serikali kukabiliana na Upungufu wa Madawati katika shule za Msingi.
Read morePolisi wa Kenya jana siku ya Jumanne walimtia mbaloni mtuhumiwa wa Pembe za Ndovu Thomas Muhoro Ngati mwenye Umri wa miaka 35 kwa kukutwa na Pembe za Ndovu 39 Nyumbani kwake, baada ya Polisi kuvamia nyumba yakekatika mtaa wa Ruiru, Mashariki mwa Nairobi,...
Read moreWaziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akisaini kitabu cha wageni mala baada ya kuwasili katika kiwanda cha Nondocha Kamal Steels Ltd. Kilichopo Chang'ombe , DSM pembeni yake GAgan Gupta ambaye ni Mwenyekiti na Mtendaji wa Kiwanda...
Read moreMshambuliaji wa Kimataifa wa Uruguay ambae anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania Luis Suarez amefunguka kwa mala ya kwanza baada y kumaliza adhabu yake na kujiunga na Kikosi cha timu yake ya Taifa ya Uruguay kilichopo Montevideo. Suarez amefunguka...
Read moreUchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es salaam ulichukua headlines siku zilizopita baada ya wananchi kuwa na hamu ya kumfahamu Meya mapema,sasa leo March 22, 2016 hatimaye Diwani Issaya Mwita kupitia vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) ameibuka...
Read moreKwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974
June 7 2020
June 7 2020
June 18 2018