MAGAZETI YA TANZANIA YALICHOTWANDIKIA LEO MAY 2, 2016..
Nikianza kwa kukusogezea posti za habari mbalimbali zilizojitokeza katika Magazeti ya Tanzania nikianza na Gazeti la MWANA SPOTI lina habari inayosema "Unasonya? ukicheza na Yanga marufuku kushangilia", Gazeti la CHAMPIONI lina habari inanayosema "Hans Poppe ataja rushwa tatu za ubingwa Bongo",na katika Gazeti la TANZANIA DAIMA lina habari inayosema "Magufuli atafuna mfupa wa JK", Katika Gazeti la HABARI LEO lina habari inayosema "Rais Magufuli atua mzigo wafanyakazi",[...]