RAIS MAGUFULI AELEZA KWANINI HATAKI KWENDA NJE YA NCHI. SOMA HABARI HIYO HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema haya "Nataka niwaeleze ndugu zangu, mimi sipendi sana kusafiri kwasababu ninapenda kubana matumizi, nimealikwa sehemu nyingi, nimealikwa Ulaya lakini na sehemu nyingine bado sijaenda, nilipoalikwa na Mhe. Kagame nimekuja na nataka niwaeleze ndugu zangu wa Rwanda hii ndiyo safari yangu ya kwanza kutoka Nje ya Tanzania"