HUYU NDIYE KOCHA MPYA WA CHELSEA. INGIA HAPA USOME HABARI KAMILI
Baada ya Klabu ya Chelsea ya Uingereza kumfukuza aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho miezi kadhaa iliyopita na nafasi yake kuchukuliwa na kocha wa muda Guus Hiddink, April 4 uongozi wa Chelsea umetangaza Kocha wa kudumu atakayejiunga na Klabu hiyo mwishoni mwa mwa msimu.Chelsea imemtangaza Antonio Conte kuwa kocha mpa wa klabu hiyo ambaye atajiunga na timu hyo baada ya michuano ya Euro 2016 kumalizika akiwa anaiongoza timu ya taifa ya Italia katika michuano hiyo..