Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974

22 Mar

RAIS MAGUFULI KUTII AGIZO LA MAKONDA. SOMA HABARI KAMILI HAPA

Published by elipidius geofrey

Rais John Pombe Magufuli amekuwa mtu wa kwanza kutekeleza agizo la mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda la kuhakiki silaha baada ya Bunduki zake aina ya Shot Gun na Bastola kuhakikiwa nyumbani kwake Ikulu, Dar es salaam

STARZTZ

RAIS MAGUFULI KUTII AGIZO LA MAKONDA. SOMA HABARI KAMILI HAPA
Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974