RAIS MAGUFULI AWASIHI WATANZANIA KUWA WAMOJA. SOMAHABARI KAMILI HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewasihi watanza nia kuendelea kuwa wamoja na kushirikiana kuijega Nchi yao, badala ya kubaguana. Rais Magufuli ametoa wito huo jana Katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front jijini Dar es salaam, ambako alisali ibada ya Pasaka pamoja na Waumini wa Kanisa hilo.