NAWAALIKA WAKRISTO TUSHILIKI KUTAFAKALI YOHANA MT. 20:1-23. SOMA TAFAKARI HIYO HAPA
"Hata siku ya kwanza ya Juma Mariamu Mangdalene alikwenda kaburini alfariji, kungali giza bado;akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini,Basi akaenda mbio, akafika kwa Simoni Petro na kwa Yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia Wamemwondoa Bwana Kaburini.......23 Wowote mtakao waondolea dhabi wameondolewa; na wowote mtakao wafungia dhambi wamefungiwa."