NA KATIKA MAGAZETI HII LEO YAMETUANDIKIA... SOMA HABARI HAPA
"Siri Kugombea Urais sasa yafichuka" Ni habari iliyoandikwa katika Gazeti la JAMBO LEO. Pia katika Gazeti la MAJIRA likiandika "Mwanajeshi JWTZ apigwa mawe". Haijaishia hapo katika Gazeti la MZARENDO limetuandikia "Mbunge aibuka na kuanika dili kwenye kamati". Na Katika Gazeti la MTANZANIA limeandika Magufuri anoa panga jingine.