MHE. ZITTO KABWE AJING'ATUA UJUMBE. NIMEKUANDALIA HABARI KAMILI HAPA..
Ni Mbunge wa Kigoma aandika kwenye Ukurasa wake wa Facebook akisema "kuna tuhuma za rushwa dhidi ya kamati mbalimbali za Bunge ikiwemo kamati ninayohudumu. Nimemwandikia Spika kuomba Uchunguzi juu ya tuhuma hizo na na kwamba achukue hatua kali dhidi ya yeyote atakayekutwa kuhusika na vitendo vya Rushwa. Nimejiuzulu Ujumbe wa kamati ili kutoa nafasi ya Uchunguzi Husika.