AJALI NYINGINE KIMALA BARUTI.PATA HABARI KAMILI HAPA
Ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kutokea kwa ajali Kimala Dar es salaam. usiku wa March 25 kumetokea ajaali nyingine katika eneo la Kimala Baruti ambapo Basi la Princes Muro lenye usajli wa T551 BQP. Limavaa kituo cha mabasi ya mwendo kasi. Basi hilo limetokea Arusha kuja Dar es salaam halikuuwa Abilia wala hakuna aliye jeruhiwa.