Mtu wangu naendelea kukusogezea habari kuu zilizojili katika Ulimwengu wetu huu katika siku ya leo. Usisite kuendelea kuwa nami kila siku kwaajili ya kupata vitu motomoto.
Kama ninavozidi kukwambia mtu wangu kwamba kila siku Teknolojia inazidi kukua. Sasa leo9 tumekuja na hii mpya, ambapo hiki kifaa kinakuonesha ni wapi ulipoacha gari lako, Pikipiki, Wallet, Baiskeli na vingine vingi. Haya unapasa kufanya yafuatayo, Daowload...
Ni August 17, 2o16 Jeshi la Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam imewahoji wasanii wa Orijino Komedi akiwemo meneja wao Seki kwa tuhuma za kuvaa sare za Polisi kwenye harusi ya msanii Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja Mkandamizaji. Jeshi la Polisi...
Kumbe mbwembwe tu Alikiba anamzidi Diamond Noti au utajili, Alikiba ameonyesha jeuri ya Pesa GSM baada ya kuagiza gari ya Milioni 700. Kumbe diamond bila Zari hamna kitu!!!
Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (1972- 1984), Mzee Aboud Jumbe Mwinyi amefariki dunia jana mchana nyumbani kwakemji mwema Kigamboni jijini Dar es salaam na anatarajiwa kuzikwa kesho Zanzibar. Imeelezwa kuwa kutokana...
Leo naendelea kukusogezea habari kuu zilizojili katika Ulimwengu, huu kupitia magazeti yetu ya Tanzania, endelea kuwa nami ila siku kwaajili ya kuendelea kujua nini kinaendelea kujili.