MKE WA MASANJA MKANDAMIZAJI ALETA KIZAZAA...
Huyu ni mke wa mwigizaji wa Original Comedy, ikiwa ni baada ya kufunga Ndoa na mumewe Masanja Mkandamizaji. Wawili hao wameonekana kwenye picha mbalimbali huku mavazi yao yakiwaacha watu wengi wakiwa na maswali yaliyokosa majibu kutokana na picha anazovaa mke wake, wakidai Mke wa Baba Mchungaji havai hivoo!!!!, imeonekana kwenye mitandao ya kijamii wengine wakisema kwamba "Ni Mchungaji wa mwendokasi.." na mengine kama hayo.