RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ATENGUA UTEUZI MWINGINE LEO JULY 28, 2016...
Rais wa Jamhuli ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya mfuko wa Barabara (Road Fund Board) Dkt. James Munanka Wanyancha.Rais ametengua uteuzi huo leo July 28, 2016 na kufanya uteuzi wa mpya kumteua Odo Haule kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Mfuko wa Barabara.