Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog
04 Aug

RAY C FULL KICHEKO AFUNGUKA MAZITO BAADA YA KUANZA...

Published by elipidius geofrey  - Categories:  #VIJIMAMBO

Mwana mziki wa Bongo fleva Ray C leo haja na hii mpya akionyesha kuangua kicheko ile mbaya ikisemekana ni baada ya kuanza Tiba Sobber House, kama tunavojua kwamba Sobber House nikulee alikokuwa Chid Benzi akipata matibabu ya matumizi ya madawa ya kulevya, ni habari iliyojitokeza katika Gazeti la AMANI.

STARZTZ

RAY C FULL KICHEKO AFUNGUKA MAZITO BAADA YA KUANZA...
RAY C FULL KICHEKO AFUNGUKA MAZITO BAADA YA KUANZA...
Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974