Overblog
Follow this blog Administration + Create my blog

matukio

MPYA!! KIJANA WA MIAKA 19 ATOLEWA MACHO KISA USHIRIKINA...

Hii imetokea huko Nigeria ambapo kijana mwenye umri wa miaka 19 wa Jimbo la Kaskazini Magharibi mwa Nigeria la Bauchi anasema kuwa macho yake yalitolewa na watu waliotaka kuyatumia kwaajili ya sababu za ushirikina.Polisi wamesema wanachunguza kisa hicho,...

Read more

DARAJA LA KIOO CHINA LASITISHWA KWAMUDA WA SIKU 13...

Daraja la kioo kuwa juu zaidi lilizinduliwa hivi kalibuni Nchini China ambapo lina urefu wa zaidi ya futi 1400, upana wa futi 20 na karibu futi 1000kutoka kwenye ardhi na umelipotiwa kuwa kioo chake ni imara zaidi ya mala 25 zaidi ya kioo cha dirisha,...

Read more

MREMBO APEWA PESA AZIWEKA KWENYE MATITI, ZAGEUKA KUWA NYOKA...

Katika habari nilizonazo leo ni pamoja na hii ya huyu binti aliyeshadadia lifti na kukutwa na haya makuu, kwa mujibu wa Taarifa nilizonazo ni kwamba alipewa pesa na akaziweka kwenye Matiti, mala akashangaa kitu kinamtembelea kumbe zimegeuka kuwa Nyoka,...

Read more

GAIDI MTOTO AUAWA MKURANGA, YASIMULIWA MAZITO...

Inasemekana lakini!! ni kwamba kama ni hivi basi Serikali iendelee kuwapunguza waarifu, Huko Mkuranga ameuawa Gaidi mtoto, kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa RPC zinasema gaidi huyo amejifunzia Ugaidi huko Sudan kwa miaka 2, huku mama ake akiishia kusimulia...

Read more

MAPYA YAZUKA, BABA AKE KAJALA MBARONI KWA UTAPELI...

Mzazi wa Mrembo Kajala inamaana baba ake imedaiwa ametiwa Mbaroni kwa utapeli. Ni mstaafu wa jeshi la Polisi, adaiwa kujipatia mil 10 kimjinimjini,Kajala aongea,RPC amfuatilia.

Read more

VIDEO:MREMBO ANAYEONGOZA KWA KUPIGA SELFIE KATIKA MAZINGIRA HATARISHI DUNIANI...

Katika habari nilizonazo leo ni pamoja na hii ya huyu Mrembo anayejulikana kama Angeja Nikolau, kwa muda sasa watu wamekuwa wakiendelea kupiga picha mbalimbali na katika maeneo mbalimbali katika mtindo wa Selfie lakini aliyokuja nayo huyu Dada inashangaza...

Read more

AFANYIWA OPERESHENI NA KUTOLEWA VISU 40 TUMBONI...

Mtu wangu kama unavojua kila siku yanatokea mambo mengi Duniani, kuna yanayofurahisha , kuchekesha na mengine yanayohuzunisha. Leo nimekuletea hii habari mpya na yakushangaza kweli iliyotokea huko India. August 22 2016 raia wa India mwenye umri wa miaka...

Read more

HUU NI UKATIRI NA UNYAMA, MREMBO AZIKWA AKIWA HAI...

Hii imetokea kweli, Mrembo huyu alizikwa akiwa Hai, Taarifa hizi zimethibitishwa na Madaktari, inasemekana mkono wa huyo mrembo ulikuwa umetokeza juu ya udongo, nabaada ya kufukua Udongo mwili wakutwa ukiwa na matambara kinywani kitendo kilicho wapelekea...

Read more

MFANYA BIASHARA MMOJA MOSHI AJIPIKA KWA PETROLI...

Ni mkazi wa Moshi anayejulikana kwa jina la Romani shirima mwenye umri wa miaka (74), kwa mijibu wa taarifa kutoka kwa mashahidi zinasema kwamba mfanya bihashara huyo alijifunika Blanketi, na kisha kujimwagia Petroli na kutumi kiberiti kuwasha moto ambao...

Read more

JESHI LA POLISI LATANGAZA KUMAFUT MASANJA MKANDAMIZAJI...

Ni August 17, 2o16 Jeshi la Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam imewahoji wasanii wa Orijino Komedi akiwemo meneja wao Seki kwa tuhuma za kuvaa sare za Polisi kwenye harusi ya msanii Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja Mkandamizaji. Jeshi la Polisi...

Read more
<< < 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 > >>

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974