Hii imetokea huko Nigeria ambapo kijana mwenye umri wa miaka 19 wa Jimbo la Kaskazini Magharibi mwa Nigeria la Bauchi anasema kuwa macho yake yalitolewa na watu waliotaka kuyatumia kwaajili ya sababu za ushirikina.Polisi wamesema wanachunguza kisa hicho,...
Daraja la kioo kuwa juu zaidi lilizinduliwa hivi kalibuni Nchini China ambapo lina urefu wa zaidi ya futi 1400, upana wa futi 20 na karibu futi 1000kutoka kwenye ardhi na umelipotiwa kuwa kioo chake ni imara zaidi ya mala 25 zaidi ya kioo cha dirisha,...
Katika habari nilizonazo leo ni pamoja na hii ya huyu binti aliyeshadadia lifti na kukutwa na haya makuu, kwa mujibu wa Taarifa nilizonazo ni kwamba alipewa pesa na akaziweka kwenye Matiti, mala akashangaa kitu kinamtembelea kumbe zimegeuka kuwa Nyoka,...
Inasemekana lakini!! ni kwamba kama ni hivi basi Serikali iendelee kuwapunguza waarifu, Huko Mkuranga ameuawa Gaidi mtoto, kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa RPC zinasema gaidi huyo amejifunzia Ugaidi huko Sudan kwa miaka 2, huku mama ake akiishia kusimulia...
Mzazi wa Mrembo Kajala inamaana baba ake imedaiwa ametiwa Mbaroni kwa utapeli. Ni mstaafu wa jeshi la Polisi, adaiwa kujipatia mil 10 kimjinimjini,Kajala aongea,RPC amfuatilia.
Katika habari nilizonazo leo ni pamoja na hii ya huyu Mrembo anayejulikana kama Angeja Nikolau, kwa muda sasa watu wamekuwa wakiendelea kupiga picha mbalimbali na katika maeneo mbalimbali katika mtindo wa Selfie lakini aliyokuja nayo huyu Dada inashangaza...
Mtu wangu kama unavojua kila siku yanatokea mambo mengi Duniani, kuna yanayofurahisha , kuchekesha na mengine yanayohuzunisha. Leo nimekuletea hii habari mpya na yakushangaza kweli iliyotokea huko India. August 22 2016 raia wa India mwenye umri wa miaka...
Hii imetokea kweli, Mrembo huyu alizikwa akiwa Hai, Taarifa hizi zimethibitishwa na Madaktari, inasemekana mkono wa huyo mrembo ulikuwa umetokeza juu ya udongo, nabaada ya kufukua Udongo mwili wakutwa ukiwa na matambara kinywani kitendo kilicho wapelekea...
Ni mkazi wa Moshi anayejulikana kwa jina la Romani shirima mwenye umri wa miaka (74), kwa mijibu wa taarifa kutoka kwa mashahidi zinasema kwamba mfanya bihashara huyo alijifunika Blanketi, na kisha kujimwagia Petroli na kutumi kiberiti kuwasha moto ambao...
Ni August 17, 2o16 Jeshi la Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam imewahoji wasanii wa Orijino Komedi akiwemo meneja wao Seki kwa tuhuma za kuvaa sare za Polisi kwenye harusi ya msanii Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja Mkandamizaji. Jeshi la Polisi...