Akiongea mapema jana Mkuu wa wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Amon Mpanju amesema mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki na Serikali ilishaweka Msimamo wake katika hilo. aliyasema hayo katika mkutano wa wadau wa haki za binadamu uliofanyika katika hotel ya...
Chama cha Demockrasia na maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pwani kinatafakari ni atua gani ya kufuata baada ya Rais John Magufuli kutaka siasa za nguvu zifanyike wakati wa Uchaguzi mkuu ujao kauri inayotafsiriwa kuwa ni kupiga marufuku shughuli za Kisiasa....
Ofisi ya Rais- TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha tano na Vyuo vya ufundi kwa mwaka 2016. Ikiwa wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka katika Shule za serikali na zisizo za Serikali. Jumla ya wanafunzi 65,720...
Akizungumza jana Ikuru jijini Dar es salaam Rais John Pombe Magufuli amewataka wanasiasa waliopewa nafasi za kuwakilisha wananchi wajikite zaidi katika kuhudumia wananchi na kutimiliza mambo walio ahidi katika kipindi chao cha Kampeini.
Mgongombea upinzani Nchini Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo Moise Katumbi amehukumiwa kifungo cha miaka 3 Jela na kupigwa faini ya dola milioni 6 kwa kosa la kununua nyumba kinyume cha sheria kwenye mji ulio mashariki mwa nchi wa Lubombasi.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango ametoa ufafanuzi huo mjini Dodoma wakati akiongea na vyombo vya Habari ili kutoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zilizotolewa na wabunge wakati wa kujadili bajeti kuu ya Serikali iliyopitishwa juzi na Bunge.
Ni Jue 22, 2016 aliyekuwa Kamanda wa kanda maalumu ya Dar es salaam Suleiman Kova ameagwa leo rasmi katika viwanja vya Chuo cha mafunzo ya taaluma ya Uaskari Moshi (MPA) kilichojulikana kwa jina la CCP.
Imeelezwa kuwa mamlaka ya mji mdogo wa Mikumi imekuwa na msongamano wa watu magari ya mizigo kutoka ndani na nje ya Nchi Agnes Mgonja amesema hayo alipokuwa akizungumza namna ya kusaidia wakazi wanaoishi katika maeneo ya barabara likiwemo eneo la Mik...
"Marehemu alikuwa mtiifu na alinipa michongo mingi nzi za uhai wake" hii ni kauli ambayo watu wengi walio na simu feki wamekuwa wakisema wakati kama huu wa kuzimwa kwa simu Alhamisi hii Juni 16, 2016.