RAPA KIMBUNGA AMTUPIA VIJEMBE VIKALI NAY WA MITEGO...
Rapa huyu amesema kuwa Nay wa Mitego hajui Muziki na wala hajui gumzo za Hip hop.
Read moreKwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974
Rapa huyu amesema kuwa Nay wa Mitego hajui Muziki na wala hajui gumzo za Hip hop.
Read moreNikiendelea kwa kukusogezea habari kuu zilizojitokeza katika Magazeti ya Tanzania leo, zikiwemo habari za Michezo,Udaku, n.k
Read moreKwa Vipodozi vya kila aina vikiwemo, Mafuta ya kuondoa Chunusi,Madoamadoa kwenye ngozi,Kukausha mafuta usoni,kupima aina ya ngozi yako,Pafyum za jinsia zote mbili (wanaume na wanawake), Lipshyne, lip stick,Make-up na vingine vingi tuwasiiane kupitia Namba...
Read moreMahakama moja ya Japan imempata msanii mmoja bila hatia ya kutengeza boti iliyofanana na uke wake. Jaji aliamuru kwamba boti ya Megumi Igarashi iliofanana na uke wake na yenye rangi nyingi haikuashiria umbo la uke. Hatahivyo ,alipigwa faini ya dola 3,700...
Read moreManchester United inatarajiwa kuimarisha mikakati yake ya kujikatia tikiti ya kushiriki katika fainali za kombe la klabu bingwa barani Ulaya msimu ujao, baadaye leo usiku wakati watasafiri ugenini kuchuana na West Ham. Manchester City ilitoka sare na...
Read moreWakuu wawili wa zamani wa wilaya moja nchini Rwanda wamefikishwa mahakamani nchini Ufaransa kujibu tuhuma za kuhusika kwao katika mauaji ya kimbari yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994. Hii ni kesi ya pili inayohusiana na mauaji ya kimbari ya Rwanda inayosikilizwa...
Read moreRais wa Marekani Barrack Obama anatarajiwa kutembelea Hiroshima mwezi huu akiwa ni rais wa kwanza aliyepo madarakani kufanya ziara ya mji huo wa Japan tangu ushambuliwe na bomu la kinyuklia la Marekani 1945. Ziara hiyo itakuwa miongoni mwa ziara za bara...
Read moreMama mmoja raia wa Australia ametoa picha za mapacha watano aliowazaa mwezi Januari. Kim Tucci wa miaka 26 alichukua dadika mbili tu kujifungua wanawe hao, wasichana wanne na mvulana mmoja. Wote walitungwa kawaida, hakutumia matibabu yeyote ya uzazi....
Read moreWanasayansi wanadai kuunda aina ya ngozi inayoweza kubandikwa juu ya mwili wa mtu kupunguza muonekano wa mikunjo ya ngozi mwilini na ngozi inayopwaya chini ya macho kutokana na uzee. Ni aina ya maji maji mtu anayopaka mwilini alafu inaachwa kukauka ambapo...
Read moreVikosi vya usalama nchini Kenya vinasema kuwa vimewakamata washukiwa 36 wa kundi la wanamgambao wa al-Shabab tangu mwezi Septemba mwaka uliopita kulingana na gazeti la The Star nchini humo. Washukiwa hao walikamatwa katika msitu wa Boni mashariki mwa...
Read moreKwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974
June 7 2020
June 7 2020
June 18 2018