Overblog
Follow this blog Administration + Create my blog

SERIKALI KUFUFUA MASHAMBA YOTE YA KILIMO NA MIFUGO.

SERIKALI imeamua kufufua mashamba yote ya kilimo na mifugo nchini. Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba amesema kwa kuanzia, wiki ijayo maofisa wa Benki ya Kilimo Tanzania watatembelea shamba la mifugo la Kitulo, Makete. Hatua hiyo inatokana...

Read more

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA JIJI LA MADRID BAADA YA USHINDI WA REAL MADRID YA HISPANIA...

Kama uliikosa hii ya usiku wa kuamkia May 28 baada ya ushindi wa Real Madrid dhidi ya Atletico Madrid katika Mchezo wa Fainali uliochezwa katika jiji la Milan, Italia uwanja wa San Siro. Real Madrid waliweka rekodi ya kutwaa kombe hilo kwa mala ya 11,...

Read more

WAZIRI WA MAZINGIRA ALIPOTEMBELEA JAMII YA WAFUGAJI WA KIMASAI...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba akizungumza na baadhiya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Parakuyo ambao wengi wao ni wanaotoka katika familia za Wafugaji.

Read more

NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA ZIARA KATIKA GEREZA LA MSALATO...

Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, akitoka katika lango la Gereza la Msalato alipofanya ziara ya kikazi katika Gereza hilo jana May 29, 2016.

Read more

WADAU KUCHANGAMKIA WINDHOEK TAMASHA LA NYAMA CHOMA VIWANJA VYA LEARDERS JIJINI DAR ES SALAAM...

Akionekana pichani Mtaalamu wa Nyama choma kutoka Mkoani Arusha, Jackson Isaya, akionyesha utaalamu wake katika Tamasha la Nyama choma.

Read more

STAA MBWANA SAMATTA AENDELEA KUWA JUU BAAYA YA KUIPELEKA GENK EUROPA LEAGUE...

Ikiwa ni May 29, 2016 Mbwana Samatha ameandika Historia mpya kwenye maisha yake baada ya kuisaidia timu ya Genk kushinda mchezo wa fainali ya play off na hatimaye kufuzu kucheza michuano ya Ulaya (Europa League)

Read more

MPYA MJINI!! WANAWAKE WAANDAMANA WAKIDAI KUKOSA WANAUME WA KUWAPA UJAUZITO...

Wanawake katika Jimbo la Ndeiya Nchini Kenya walifanya maandamano ya Amani wakiwatwisha tuhuma waume zao kwa kushindwa kuwapatia ujauzito kwa madai ya matumizi ya Pombe haramu zinazosababisha kupunguza nguvu za kiume.

Read more

HAYA SASA HUU NDO UHUSIANO MPYA WA SAUZI NA BONANG MATHEBA...

Baada ya Rapa Aka kuweka wazi kuwa yeye na Dj Zinle watabaki kuwa wazazi tu kwa mtoto wao ambapo Rapa huyo ametangaza rasmi kuwana mahusiano na Bonanga Matheba na jambo hili ameliweka wazi kabisa.

Read more

HAYA NDIYO MATUMIZI YA MAKEUP KWA WADADA...

Hii imeonekana kwamba wadada wengi wanapenda kutumia Makeup lakini baada ya kupaka huonekana kuwa na mwonekano tofauti kabisa mpaka wengine huambiwa misemo ya bora ulivyokuwa mala ya kwanza!!!! je kapendeza huyu? Acha comment aone kwamb umeionaje picha...

Read more

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974