Hii ni baada ya Forbes kutoa list ya wanamichezo 100 matajili Duniani kwa upande wa Top 10 wa mchezo soka ambao ndio unatazamiwa kuwa unaingiza hela nyingi Christian Ronaldo na Lionel Messi pekee ndio wamefanikiwa kuingia katika Top 10 hiyo.
Serikali itatenga kiasi cha shilingi Bilioni tatukusaidia kazi za Wasanii,wabunifu na wanamichezo. Kiasi hicho kimependekezwa kwenye makadilio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 kama yalivyowasilishwa na na Waziri wa Fedha na mipango Dkt...
Ikiwa ni katika kipindi ambacho Dunia inaendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa Bingwa wa zamani wa Masumbwi wa uzito wa juu Muhammad Ali, raper wa Bonta anatukumbusha historia fupi, Muhammad Ali alikuja mwaka 1980 lakini alijikuta kukutana na waziri mkuu...
Zile tetesi za Msanii Tiwa savage kutoka Nigeria kusainiwa katika label ya Roc Nation ya Rapper Jay Z zaweza kuwa sio tetesi tena, hiyo inatokana na Tiwa Savage pamoja na Manager wake Don Jazzy wa Mavin Record kupost katika kurasa zao za Instagram, picha...
Stephen Keshi
Mmoja wa wachezaji maarufu wa soka barani Afrika Stephen Keshi amefariki akiwa na umri wa miaka 54 ,shirikisho la Nigeria limethibitisha. Nahodha huyo wa zamani wa kikosi cha Nigeria, Keshi,alikuwa mmoja wa watu wawili pekee kushinda michuano...
Rais wa Marekani Barrack Obama hatohudhuria mazishi ya marehemu Muhammad Ali siku ya Ijumaa,kulingana na Ikulu ya rais. Ali alifariki Ijumaa iliopita akiwa na umri wa miaka 74 katika hospitali moja huko Phoenix, Arizona. Viongozi duniani watakuwa miongoni...
Taarifa ya KenGen
Kampuni ya kuzalisha umeme nchini Kenya, KENGEN imetuma taarifa kwa vyombo vya habari ikiomba radhi kwa ukosefu wa umeme Kwa hapo jana. Hilo sio jambo geni. Mara kwa mara umeme hupotea nchini Kenya kwa sababu moja au nyengine, sawa tu...