Rais wa Marekani,Barack Obama amelaani mauaji yaliyotokea Orlando
Rais wa Marekani,Barack Obama amesema shambulio la risasi katika Klabu ya usiku mjini Orlando ni la kigaidi na ni kitendo cha chuki Takriban watu 50 wamepoteza maisha na wengine 53 wamejeruhiwa...
MAGAZETI ya leo
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea
Akifunguka mengi Racka amesema msanii wa Bongo movi Kajala Masanja katika Enewz Quick Racka alisema kuwa yeye na msanii huyo wa bongo movi ni washkaji na marafiki wa kalibu sana na urafiki wao una miaka miwili sasa, huku kila mtu akiwa na kazi yake.
Mwanamitindo Hamisa Mobeto amewataka wazazi kuwaacha watoto wa kike/ wakiume waingie kwenye fashion na waachane na dhana ya kwamba kuingia kwenye fashion ni uhuni.
Kaimu mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini kutoka mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) Bi.Rose Mdami akiwaeleza waandishi wa habari jana jiji ni Dar es salaam kuhusu zoezila utoaji wa vitambulisho vipya vyenye saini ya mwenye kitambulisho. Kulia...
Staa wa Bongo fleva Ney wa Mitengo bado anaendelea kuwapa makavu live wasanii wa bongo movi hasa wakwaluaji wanaosubili vijana wa Bongo fleva wawe juu ndipo watoke nao kimapenzi.