November 24 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salam, Paul Makonda ameendelea na ziara yake ya siku 10 ambayo lengo ni kukutana na wanannchi kwa ajili ya kusikiliza kero zao. Ilikuwa ni zamu ya Ilala na hapa ulikuwa ni mkutano wa hadhara Chanika, katika mkutano...
Mtu wangu leo November 25, 2016 katika habari nilizonazo leo ni pamoja na hii ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Poul Makonda kuonekana yupo katika wakati mgumu kwa kile kilichosemekana kuwa ni kutokana na kauli, na uamuzi wake mikutanoni. Wananchi walalamika...
Leo katika michezo na burudani nakusogezea na hii ya mwanasoka Mkongwe kabisa katika mechi aliyekuwa akiichezea Timu ya Liverpool, leo rasmi ametangaza kustaafu soka akidai imetosha.
Mtu wangu bila kukosea nafikili utakuwa hujamsahau huyu staa kutoka katika tasnia ya Bongo movie Marehemu Steven Kanumba. Sasa leo katika habari nilizonazo hapa Studio ni pamoja na hii ya staa huyo kwa mujubu wa taarifa nilizonazo ni kwamba kamtokea mtoto...
Mtu wangu naendelea kukusogezea zile habari muhimu kutka katika pande zote za Dunia, zikiwa zimebeba matukio, michezo, udaku na mengine mengi. Haya yote ni ndani ya STARZTZ pekee.
Leo katika tembea tembea yangu nimekutana na hii habari inayomhusu mume wa Lady Jay D. Habari hii inasema Mume wa Jide asakwa na wanawake wakidai kwamba ana macho yenye mvuto.
Mtu wangu najua hujasahau kuhusu habari za yule mtu aliyetobolewa macho na Skopioni, sasa leo amekuja na kilio upya kwani umebainika Maumivu yaanza kuzidi, yahamia Mashavuni na Kiunoni, awasihi watanzania kumsaidia, "Watanzania nisaidieni nikatibiwe nje...