Kama kawaida yangu kila siku kukudokeza baadhi ya HABARI zilizojitokeza katika Magazeti mbalimbali ya Tanzania. Nikianza na Gazeti la TANZANIA DAIMA lina habari inayosema "JP amponza bosi wa TIC", Gazeti la BINGWA lina habari inayosema "Mayanja aiandalia...
Hii ni kazi ya Director Nisher kama ulikuwa umeimiss, Director Nisher kaweka mkono yake kwenye hii video mpya ya Mwimbaji Emmanuel Austin ambayo kamshirikisha Ben Pol inaitwa 'Boge'.
Jopo la Madaktari Bingwa kutoka taasisi ya Mifupa na mishipa ya Fahamu (MOI) iliyopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es salaam wametia kambi Mwanza kwaajili ya Upasuaji wa watoto wenye matatizo ya Vichwa vikubwa na Mgongo wazi huduma ambayo itatolewa...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi (kulia) wakati alipomuuliza swali katika kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, bungeni mjini Dodoma April 28, 2016.
Kutoka Bungeni Dodoma Mkutano wa Bunge umeendelea tena leo April 28, 2016 ambapo Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amewasilisha Bungeni ripoti mpya ya tuhuma za IPTL, Tegeta Escrow pamoja na Standard Bank ya Uingereza. Katika mambo ambayo Zitto ameyazungumzia...
Kama we ni mpenzi wa Burudani utataka kujua ni nyimbo gani kali zinazofanya viruri Africa, April 28, 2016 Trace TV wametuletea rist ya ngoma 10 kali kutoka Afrikka kupitia chati zao za Africa 10 ikiwemo ya Mtanzania Phyno -Ezege.
Msanii Ney wa Mitego amesema mala nyingi yeye hupenda kuonesha vitu anavyomiliki zikiwemo Gari, Nyumba hata Pesa kwa lengo kuu moja, akidai anafanya hivyo kuwatia moyo vijana walio kata tamaa akiwaonyesha ata yeye alitokea hukohuko mpaka akatoboza.
Mtoto huyu mwenye umri wa miaka 16, jana aliwasili uwanja wa Ndege wa Mwanza na kupokelewa na wazazi wake, ndugu zake, jamaa na wengine waliokuwepo akitokea Un alikohutubia mbele ya Marais 60 na viongozi wa Mataifa zaidi ya 150 kwenye mkutano wa Umoja...