Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog
04 Apr

HAYA NDIYO MAMUZI YA DAVIDO KUFANYA KOLABO NA JOH MAKINI....

Published by elipidius geofrey  - Categories:  #MICHEZO NA BURUDANI

Hivi karibuni Msanii Joh Makini kutoka kundi la Weusi, aliwaahidi mashabiki zake juu ya kufanya kolabo na msanii Davido wa Nigeria, sasa April 3 kupitia ukurasa wa Instagram wa Mwimbaji na staa kutokea Nigeria Davido amethibitisha kuwa tayari washaanza kuandaa kolabo hiyo na mkali Joh makini.

Kwenye ukurasa huo Davido alipost  picha akiwa pamoja na Joh Makini na kuandika maneno yalisomeka “Back to work On set shoot @johmakinitz ft Davido ….. TZ  x NAIJA”

HAYA NDIYO MAMUZI YA DAVIDO KUFANYA KOLABO NA JOH MAKINI....
Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974