KHA!! MZEE WA UPAKO USIRUDIE USHETANI HUU, AKUTWA AKIJISHUSHIA KONYAGI...
Ni kati ya habari nilizonazo leo mtu wangu. Mzee wa Upako akutwa akinywa Konyagi meingi yazuka, huku wengi wakioji Sadaka anazopata anazitumia katika Ulevi, wadai hasira ya Mungu imeshuka aambiwa kutubu na ushetani wa kupenda Konyagi. Yamkuta makuu apata hasira na kugoma kuondoa gari hadi Rais John Magufuli na RPC Simon Sirro waje.