Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog
23 Nov

ALIYETOBOLEWA MACHO KILIO UPYA!! MTAFARUKU WAMKIMBIZA MUHIMBILI KWA MAUMIVU MAKALI...

Published by elipidius geofrey  - Categories:  #HABARI

Mtu wangu najua hujasahau kuhusu habari za yule mtu aliyetobolewa macho na Skopioni, sasa leo amekuja na kilio upya kwani umebainika Maumivu yaanza kuzidi, yahamia Mashavuni na Kiunoni, awasihi watanzania kumsaidia, "Watanzania nisaidieni nikatibiwe nje ya Nchi kwani natamani kuona upya ili niendelee na maisha kama kawaida"- Aliyetobolewa macho.

STARZTZ

ALIYETOBOLEWA MACHO KILIO UPYA!! MTAFARUKU WAMKIMBIZA MUHIMBILI KWA MAUMIVU MAKALI...
Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974