MACHANGU DOA WAMTEKA MWANDISHI WA HABARI NA KUOKOLEWA NA POLISI...
Machangu wakiwa katika maeneo yao ya kazi "Mtaani" wamemteka mwandishi na mwandishi kuokolewa na Polisi usiku wa manane,ikiwa inasemekan kwamba alikuwa kwenye oparesheni maalumu, imesemwa kwamba amelazimishwa kufanya vitendo vichafu. Machangu nao waja juu wakisema Makonda hawawezi. Soma habari ii katika ukurasa wa 2 katika Gazeti la RISASI.