Overblog
Edit post Follow this blog Administration + Create my blog
28 Jun

SERIKALI YAENDELEA KUWA NA MSIMAMO WAKE JUU YA MAPENZI YA JINSIA MOJA YA MASHOGA NA WASAGAJI...

Published by elipidius geofrey  - Categories:  #HABARI

Akiongea mapema jana Mkuu wa wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Amon Mpanju amesema mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki na Serikali ilishaweka Msimamo wake katika hilo. aliyasema hayo katika mkutano wa wadau wa haki za binadamu uliofanyika katika hotel ya Blue Pearl wa kujadili mapendekezo ya tathmini ya utekelezaji wa maswala ya haki za binadanu.

STARZTZ

SERIKALI YAENDELEA KUWA NA MSIMAMO WAKE JUU YA MAPENZI YA JINSIA MOJA YA MASHOGA NA WASAGAJI...
SERIKALI YAENDELEA KUWA NA MSIMAMO WAKE JUU YA MAPENZI YA JINSIA MOJA YA MASHOGA NA WASAGAJI...
Comment on this post

About this blog

Kwa matangazo mbalinbali wasiliana nami kupitia, 0714260485,0759110974